Recent content by Mzee mende

  1. Mzee mende

    Waziri Tibaijuka awafutia vigogo hati za ardhi

    Salaam !!! Stori yetu ni hii. Tajiri ‘ambipu' JPM Na Mwandishi Wetu MCHAKATO wa ufutaji wa vibali vya ardhi ambazo hazitumiki unadaiwa kuingiliwa na baadhi ya matajiri ambao hutumia ushawishi wao serikalini kufuta vya wanyonge ili wavitumie kwa matumizi yao. JAMHURI lina taarifa kwamba...
  2. Mzee mende

    Watumishi Wizara ya Ardhi wapora ardhi

    Salaam !!! Stori yetu ni hii. Tajiri ‘ambipu' JPM Na Mwandishi Wetu MCHAKATO wa ufutaji wa vibali vya ardhi ambazo hazitumiki unadaiwa kuingiliwa na baadhi ya matajiri ambao hutumia ushawishi wao serikalini kufuta vya wanyonge ili wavitumie kwa matumizi yao. JAMHURI lina taarifa kwamba...
  3. Mzee mende

    Rais Magufuli katika viatu vya Mwalimu Nyerere

    Salaam !!! Stori yetu ni hii. Tajiri ‘ambipu' JPM Na Mwandishi Wetu MCHAKATO wa ufutaji wa vibali vya ardhi ambazo hazitumiki unadaiwa kuingiliwa na baadhi ya matajiri ambao hutumia ushawishi wao serikalini kufuta vya wanyonge ili wavitumie kwa matumizi yao. JAMHURI lina taarifa kwamba...
  4. Mzee mende

    Mchakato wa ufutaji hatimiliki za ardhi ambazo hazitumiki: Vigogo wadaiwa kutumia wanyonge ili wavitumie kwa maslahi yao

    Tajiri ‘ambipu' JPM Na Mwandishi Wetu MCHAKATO wa ufutaji wa vibali vya ardhi ambazo hazitumiki unadaiwa kuingiliwa na baadhi ya matajiri ambao hutumia ushawishi wao serikalini kufuta vya wanyonge ili wavitumie kwa matumizi yao. JAMHURI lina taarifa kwamba katika orodha ya vibali vya ardhi...
  5. Mzee mende

    Mchakato wa ufutaji hatimiliki za ardhi ambazo hazitumiki: Vigogo wadaiwa kutumia wanyonge ili wavitumie kwa maslahi yao

    Mchakato wa ufutaji hatimiliki za ardhi ambazo hazitumiki unadaiwa kuingiliwa na baadhi ya matajiri wanaotumia wanyonge ili wavitumie viwanja kwa maslahi yao. JAMHURI lina taarifa kwamba katika orodha ya hatimiliki za ardhi zilizowekwa mezani kwa Rais John Magufuli kwa ajili ya kufutwa, zipo za...
  6. Mzee mende

    GE2020 Watanzania tufungue macho na tujiulize haya kuhusu wagombea wa wapinzani

    Kama unampenda sana Lissu siyo vibaya. Sisi tunamtaka JPM siyo kwa mapenzi baina yetu bali ni kwa mapenzi ya nchi yetu kaonyesha njia kavunja kale kaduara kazamani cha watu kula mema ya nchi na wengine wakitazama
  7. Mzee mende

    GE2020 Watanzania tufungue macho na tujiulize haya kuhusu wagombea wa wapinzani

    TAFAKARI YANGU Mwaka huu Tanzania itafanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Na tayari tuko kwenye kampeni kwa ajili ya uchaguzi huo kwenye ngazi zote zinazohusika. Uchaguzi huu ndio jiko la kupika na kuwaivisha viongozi wapya watakaoliendesha gurudumu la uongozi wa taifa letu,ndio...
  8. Mzee mende

    GE2020 Jimbo la Iramba hakika ni kumi yatosha!

    Mtama Nape Nnauye-496 Nahonyo Nahonyo- 167 Augustino Chiwinga- 8
  9. Mzee mende

    GE2020 Dkt. Mwinyi: Wajumbe wa Zanzibar waliotupigia kura ni 68 hata kama ni kweli wenzangu walipata 35 basi na mimi nilipata 33

    Hakusema ayo ni mbwembwe za wapinzani wake, Mwinyi ndiyo Rais wa Zanzibar kwa miaka mitano ijayo mengine ni Maneno tu, sharif na membe wameingia kwanye SPV na dereva ni zitto na ndiyo mwisho wa upinzani Zanzibar,muda utasema
Back
Top Bottom