Recent content by mzee levi

  1. M

    Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

    kuna baadhi ya miji hapa tz mtu unaona fahari kuzaliwa huko.musoma ni mji wa kifahari yaani mtu haoni taabu kusema mm ni wa musoma aiseee hii ya leo ni historia. Watu wanadeki brbara!!!!!!
  2. M

    Mgombea UDIWANI wa CCM ambaye ni Rais wa Yanga aweka historia Mbagala

    Haisadiii kichapo kiko palepale mbagala kuna watu wengi hata hashim rungwe anjaza nyomi2 sembuse manji?
  3. M

    CHADEMA sasa chali

    unapajua musoma? Manake inaonekana umekodishwa na uknunuliwa hicho kisimu cha mchina ndo unasumbua watu subiri mb zikate. Mwambieni jk avunje baraza la mawaziri aone moto wake wapo mawaziri kibao wanasubiri goma liishe watorokee kwa kipenzi cha watanzania.lowasaaaaaaa
  4. M

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea Mwenza wa urais kupitia CCM, Samiah Suluhu

    Siasa ni timing na muda wowote mambo yanabadirika huwezi ukaja na video za lema akimpinga lowasa huko nyuma ukitarajia hayo ya nyuma kubadili kinachoendelea kwa sasa.siasa ni current issue baba.jiwe walilokataa waashi...utamalizia.
  5. M

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea Mwenza wa urais kupitia CCM, Samiah Suluhu

    wadanganyeni wajinga huyo mama ndo anapunguza kura za masolex.angalia hiyo kahama yako then ucheki mziki wa musoma watu wanapiga barabara deki....kudadadeki
  6. M

    Magufuli yupo wapi

    pumzi imekata, mabango hayasaidii kitu chema chajiuza kibaya kinajitangaza kila kona.mwaka 2010 chadema na upinzania hawakuwa na picha za mabango barabarani na waliikimbiza ccm mbaya mbovu sembuse mwaka huu ambapo mabango yamekaa kwenye angle maalum? Nakumbuka siku bango la lowasa linawekwa pale...
  7. M

    CCM kwenda CHADEMA

    kAKA HONGERA SANA ILA POLEKWA KUPOTEZA MUDA HUKO ULIKOKUWA.NA HICHO ULICHOKIONA MUSOMA NI KIONJO TU SUBIRI MWANZA NA MBEYA UTACHEKA UFE.
  8. M

    Mama Regina Lowassa afanya kufuru Morogoro

    Wapi mke wa masolex? Cheki chombo icho kinavowaka pipooooz
  9. M

    Magufuli hana maono, hajajipanga kuwa Rais, hawezi kuleta maendeleo

    Mfalme sifa yake kuu ni busara na hekima ya kutosha.uongozi unaanza kwenye ngazi ya familia.sasa kama mke wako haonekani kutokana na ubabe wa jamaa itawezekanaje kuliongoza taifa ambalo linapakana na nchi zenye bifu na tz? Ubabe na ukurupukaji wa masolex umemwangusha na hakuwa na mandalizi ya...
  10. M

    Mengi akanusha habari zinazodai 'amejitoa rasmi kwa Lowassa'

    Matajiri wote wako kwa lowasa sio yule anaetisha watu wenye viwanda.Mi nadhani huyu magufuli anaweza aingize nchi vitani kwa kupenda kukurupuka na kufanya maamuzi ya kibabe.Mengi na team yake ya TPSF wako kwa lowasa na hiyo karatasi inasema amekanush THAT MEANS BADO YUKO KWA lOWASA,.....IT IS...
  11. M

    Ukawa kura tutapiga, na lowasa atashinda, tatizo langu nahofia ccm wataiba kura

    Usiogope mkuu...yaani this time atakaeiangusha ccm ni wingi wa kura kwa Lowasa alafu pia mzee Lubuva yuko makini and mind you ni shemeji yake Lowasa.Mke wa Lowasa ni mdogo wake
  12. M

    Ukawa kura tutapiga, na lowasa atashinda, tatizo langu nahofia ccm wataiba kura

    Hakuna silaha itakayoinuka na kufanikiwa dhidi yetu asema Bwana...
  13. M

    Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

    Spensa Lameck anajitahidi sio kam yule wa awali asiraji mvungi.Anachotakiwa ni kuweka graphics vizuri picha ziwe nzuri na sauti ya mheshimiwa raisi itoke vizuri.Aongeze mbwebwe tumemkubari
  14. M

    Hivi huu mdahalo ulio Star TV ni kampeni au kuhamasisha amani?

    chochote unachokiona kinarushwa na star tv ni ccm oriented.Achana ncho kabisa utapata maambukizi bure nibora ukutane na ebola ila sio kufungulia star tv.Kuna maisha baada ya uchaguzi na star tv kumbukeni mmiliki wa vodacom ndo huyo mnemtukana akiondoa matangazo yake sijui mtaishije.
Back
Top Bottom