Bwana Masanjagama hapo unatudanganya kama upo ushahidi wa Hosea kuchukua fedha tunaomba taarifa hizo uzitolee ushahidi kwa Katibu Mkuu kiongozi Ikulu kwani ndiye mwajiri wa Hosea
Hii inakuwa kama ni Mchezo wa kuigiza maana aliye propose kuanzashwa kwa PCB ilikuwa ni tume ya WARIOBA aliyependekeza Katiba ni yeye na kuisahau TAKUKURU ni tume iliyoongozwa na WARIOBA.Sijua kama viongozi wa Serikali ya Shirikisho watachunguzwa na chombo kipi kama suala la Rushwa halijawekewa...
Nimeipitia katiba mpya na kuona ni nzuri lakini kwanini suala la mapambano dhidi ya rushwa lisiingizwe katika Muungano
Naomba ufafanuzi nipa mwanga na mimi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.