Bado changamoto ipo tu sema Mungu amasaidie.
alikuwa anaitwa musa anakojoa amesimama na sasa ataitwa mwanahamisi na vyeti vyake itakuwaje..
Vipi kwenda kuwasalimia wazazi wake... Ataenda kwa jinsia ya zaman alivyozoeleka au mpya... Nadhani hatakuwa huru bado..
BINAFSI NASHAURI AJITANGEZE AKIWA...
Habari zenu wanajamvi,
Ni miaka 8 sasa tangu nioane na mke wangu na tuna watoto watatu. Kwa ufupi tunaishi kwa amani sana. Tumejiwekea utaratibu kila mwisho wa mwaka huwa nachukua likizo na tunaenda na familia kijijini kwetu.
Mwaka huu amenikazia amesema inabidi twende nyumban kwao katika...
Pole sana, hilo ni tatizo kabisaaa.
Self isolation ni dalili mbaya ambayo inauhusiano na ugonjwa wa SONONA ambao mara nyingine unaweza kukuletea kujiua au mawazo yake(suicidal ideation)..
Hata katika mazingira ya kawaida ukiona ndugu anaanza kujitenga tenga jua kifo chake kinakaribia..
Daktari hana msaada wowote kwa huyu mwamba,
Majibu ya awali yanaonesha mimba ni changa..
Ni maneno yanayotia walakini kuona dalili siku ya nne..
Kupigwa na kutopigwa na kitu kizito kwake ni fifty fifty..
Aendelee kulea mimba kwa miezi yote tisa ikiwa ni adhabu ya kutotumia kondom na mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.