Recent content by MzaramoTz

  1. MzaramoTz

    Uzi maalumu kwa wale wapenzi wa Muziki wa Reggae

    Ngoja niwajue marasta wa JF.
  2. MzaramoTz

    Naomba kujua mshahara wa muuza duka la nguo Kariakoo

    Sio kuona tu na nahisi pia...!
  3. MzaramoTz

    Naomba kujua mshahara wa muuza duka la nguo Kariakoo

    Kumekucha...! Kumekuuucha...! King Majuto.
  4. MzaramoTz

    Nini kifanyike kwenye bongo fleva ya Sasa?

    Wewe unaongelea kwa kipindi hiki mimi naongelea tangu muziki ulivyokuwa mpaka umekuja kubadilika, hilo suala kwa kiasi flani prodyuza wamechangia kuwabadilisha wasanii, ukiangalia hapo nyuma wasanii wengi walikuwa kwenye labels ambazo prodyuza anamlazimisha msanii kufanya kile anachoona yeye...
  5. MzaramoTz

    Nini kifanyike kwenye bongo fleva ya Sasa?

    Huu muziki haujabadilika kwa siku moja, umechukua hatua katika kubadilika huko. Na waliochangia kuubadilisha ni industry nzima naweza kusema, tukianzia kwa wasanii wenyewe kuiga vya nje na kusahau vya nyumbani. Maprodyuza kuwabadilisha watu kwa kile msanii anachokifanya na kumtaka afanye...
  6. MzaramoTz

    Nimefulia wandugu, Mshahara Juni 2021 tayari?

    Mfumo wa Ulipaji/Ununuzi Serikalini - MUSE.
  7. MzaramoTz

    Nauza mafuta ya alizeti elfu 26 galoni ya lita 5

    Vipi kwa tuliopo Arusha kiongozi...?
  8. MzaramoTz

    Jinsi ya kutumia simu yako kama CCTV camera

    ...kama sio basi WiFi...!
  9. MzaramoTz

    Bado player bora kwangu muda wote ni hii ya Sony music

    Ooooh owkay kwa lugha nyingine tunaweza tukasema ina loop sehemu unayoitaka au nitakuwa nimekosea kiongozi...?
  10. MzaramoTz

    Bank kuu yamwaga Ajira kwa vijana wenye Sifa

    Naskia dereva wa hapo analamba 2m plus allowance nyingine aisee...!
  11. MzaramoTz

    Mama walimchukulia poa, kumbe...

    Hatari sana kiongozi...!
  12. MzaramoTz

    Mama walimchukulia poa, kumbe...

    Ndio mla nyama...!
Back
Top Bottom