Oooh okay nice, huwa nachukuaga gunia mbili tatu kutokaana na uwezo wa gari (Cruiser Hard Top) nikifika hapa mtaani wanachukua kwa elfu 60 wakati ninapochukua ni elfu 25 tu. Sasa ningepata mtu mwenye kibali nikachukua mzigo Mkubwa ingekuwa njema sana. Ninapochukua ni karibu na Kabuku na magunia...
Kwani kila gunia linalipiwa kiasi gani au unatakiwa kulipa kila unapokutana na check point...? Najua kama una kibali inawezekana kuvusha au upate gari ya mtu anakusanya gunia za watu tofauti anawaletea kwa pamoja then mnampoza yeye. Tupe ABC kidogo kiongozi...! Shukran.
Natamani sana nifanye hii biashara tatizo sijapata mtu wa kuaminika mwenye kibali na gari inayoweza kusafirisha mkaa kuja Arusha kiongozi. Any comment kwa hilo nitashkuru sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.