Wewe unaongelea kwa kipindi hiki mimi naongelea tangu muziki ulivyokuwa mpaka umekuja kubadilika, hilo suala kwa kiasi flani prodyuza wamechangia kuwabadilisha wasanii, ukiangalia hapo nyuma wasanii wengi walikuwa kwenye labels ambazo prodyuza anamlazimisha msanii kufanya kile anachoona yeye...
Huu muziki haujabadilika kwa siku moja, umechukua hatua katika kubadilika huko.
Na waliochangia kuubadilisha ni industry nzima naweza kusema, tukianzia kwa wasanii wenyewe kuiga vya nje na kusahau vya nyumbani.
Maprodyuza kuwabadilisha watu kwa kile msanii anachokifanya na kumtaka afanye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.