Vodacom bwana. Eti anatokea mtu anajitambulisha eti anatoka promosheni ya miaka 10 ya Voda. Eti wanagawa pato-bonus kwa wataeja. Naambiwa nimezawadiwa sh.laki tatu na sabini elfu (370,000/-).
Nasubiri ziingie kwenye account yangu ya simu mpaka leo sijaiona. Vodacom hapo niwape jina gani.
Kama...
Dawasco Dawasco Dawasco.
Pls njoni hapa Boko Mbweni, Kituo Masaiti. Pindeni kushoto mkitokea Boko. Hapo sasa ni mwezi maji ya bomba yanatiririka sana. Bomba linavuja sana sana sana kama hamtawahi eneo lote la uwanja wa wazi litaakuwa bwawa. Harakisheni.
Mleta mada hii pcccb ingemuunganisha ktk kesi zijazo ikitokea ili awasaidie polisi utetezi. Hopeless kabisa. Unatetea wahalifu. Au labda anafanya utetezi bila kujua
Mbona wakati wa Augustino L. Mrema kulikuwepo makundi ya Sungusungu a k a ulinzi wa raia mitaani. Na hatukuona makundi hayo ya kihalifu yakifurukuta. Mheshimiwa Waziri yuko sahihi. Sisi tulinde maeneo yetu pia tuwakanye watoto wetu. Msije mkailaumu serikali. Waziri ametoa onyo , ushauri na...
Wanamziki wengi wanabadili na kuishi na majina bandia. Mbona hawasumbuliwi?
Kama labda elimu yake ingetiliwa shaka hapo tatizo. Dunia nzima imejaa watu waliobadili majina na bado wanafanya vizuri tu.
Kama kuna lingine semeni. Ila swala la majina acheni fix.
Usia mtamu sana. Mhe. Zitto usia huu kama kweli una ndoto ya kiuongozi chukua hatua, usia uwe rada yako au kioo cha kujitazama. Huu pia ni utabiri. Wanakupenda na wamekuona unafaa. Na mimi nakutakia kila la kheri.
Asitafutwe mchawi wa mgogoro. Iwe ccm, chadema , act au adc. Mchawi hapa ni ubabe wa Maalim na ubabe wa Lipumba. Kwa nini wasikae wasuluhishe yaishe? Lipumba kama vile Maalim ni viongozi wa kuchaguliwa. Dawa hapa wakubali yaishe wavute subira hadi 2019. Uchaguzi wa ndani unaokuja utaamua...
Wenyekiti wa kudumu kwa siasa mambo-leo ni Udikteta. Kama ilivyo hata Cuf. Chama hakiwezi kuwa na Mwenyekiti na Katibu Mkuu kisha hao hao wagombea wa Urais kwa miaka 20. Swali hivi hakuna wengine wanaofaa kuchukua nafasi hizo ama kugombea? Tusiwanyooshee vidole wengine tuanze sisi.
Kwa sasa mgogoro unaofukuta hauhitaji sheria. Utatuzi wake ni kisiasa. Nashauri litafutwe jopo la Wazee wawaendee Maalim na Lipumba wakae chini wayamalize.
Wenzao vyama vya upinzani wanashangilia na kuombea mgogoro uendelee kukizoofisha Cuf huku wao wakibaki imara. Ni mazungumzo pekee ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.