Kwa hiyo wewe unakubali wazanzibari milioni 2 wawe na wabunge 80 Dodoma na Dar ina watu milioni 6 kuwa na wabunge 14? Hii ndo katiba unaypopenda? Hapana!
Sawa uko sahihi! Angalia Mauritius nusu wahindi robo Waafrica na robo wazungu! Pia angalia Singapore nus Wachina nusu Malay! Haya mataifa yameendelea sana! Sisi tunawagopa wageni eti watachulua kazi za wazawa! Hata hapa Tz angalia aliko Mchaga pameendelea! TUSIWAOGOPE WAgENI WATATUPA MWANGA WA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.