Recent content by MzalendoHalisi

  1. M

    Tuseme ukweli, kisiwa cha Mafia umeshawahi kusikia habari yoyote mfano kama Serikali zinavyofanyika mikoa mingine

    Kwani Mafia na Liwale wanacgangia mini ktkt uchumi WA taifa hili? TRA Tu mwaka Jana Lindi ilikuwa ya mwisho walikusanya kama 10 bilioni wakati Arusha bila utalii walikusanya 540 bilioni
  2. M

    Stendi ya Nyamhongolo yaelekea kuwa mahame

    Stend mpya zote hovyo nchi nzima
  3. M

    Swali ambalo wanaotetea kikokotoo kipya Huwa hawataki kujibu

    Kwa kikotoo cha sasa mwalimu kila mwezi atalipwa Kati ya laki 6 hadi Sana
  4. M

    Umeumiza watu halafu unataka kuokoka bila kuwaomba msamaha uliowaumiza, hilo haliwezekani!

    Kuna jambazi mmoja ameiba mali Kenya na kuua watu sasa karudi Tz eti kaokoka na kufungua makanisa na Vitua vya Shell. Huwa namshangaa! Akaombe msamaha kwa aliowauwa Kenya kwanza!
  5. M

    Naibu Waziri Adamu Malima aibiwa kila kitu hotelini Morogoro!

    Haya ha ha! Changudoa kwani yuko ,hai bado? Ni zamani 10 years ago!
  6. M

    Jina Zuri la kiafrika la mtoto wa kiume

    Wewe kabila gani? Mpe Nina la uko la baba yako au baba mkwe wako
  7. M

    Watanzania tuige mfano wa Ujerumani, tunapaswa kumsahau Magufuli na kuweka bidii kusonga mbele

    Magu alikuwa katili na mbinafsi Sana haya uwanja WA ndege kijijini kwake Chato alijijengea alikuwa mshamba Fulani hivi
  8. M

    Kwanini vyeo wanapewa ambao tayari wameshapata mafao ya kuwawezesha kufanya uwekezaji au kuishi bila hata kufanya kazi?

    Kwa mfano Anna Makinda hadi Leo ni mshauri WA Sensa na ni aibu Sana mambo haya
  9. M

    Wizara ya Afya, NHIF na siasa kwenye afya

    Corruption and lack of good governance na kutokuwa na utaratibu wa accountability of sanctions and imprisonment ya wezi ndo hivy ilivyo kwa sasa kwa kila s sector Tanzania
  10. M

    Hotels za Tanga acheni huu upuuzi, mnatia kichefuchefu

    Kwani kuna watu wanaiba hata ndala?
  11. M

    Serikali kuondoa udhibiti wa sukari kutoka nje kisheria. Bashe adai anaenda kuwatikisa 'Big Boys'

    Je sisi wakulima tinaolima miwa tutafanya kazi gani? Sii tutaingia kwenye umaskini?
  12. M

    Taasisi zetu za elimu hazina michango ya kimawazo juu ya mambo mbalimbali ya kitaifa

    Wanazuoni wengi wameacha kuandika vitabu wameingia kwenye siasa hii ndo Tanzania
  13. M

    Licha ya kuwa kitovu cha mambo ya kimataifa hapa nchini jiji la Arusha lipo hoi kwenye miundombinu

    Jawabu ni serikali majimbo 40% ya kodi ibaki Arusha mfano 2022 TRA ukitoa utalii ilikusanya bilioni 450 ni jiji la pili mapato Baada ya Dar, 40% % ni bilioni 200 kwa mwaka ziboreshe miundombinu ya Arusha
Back
Top Bottom