Kwani Mafia na Liwale wanacgangia mini ktkt uchumi WA taifa hili? TRA Tu mwaka Jana Lindi ilikuwa ya mwisho walikusanya kama 10 bilioni wakati Arusha bila utalii walikusanya 540 bilioni
Kuna jambazi mmoja ameiba mali Kenya na kuua watu sasa karudi Tz eti kaokoka na kufungua makanisa na Vitua vya Shell. Huwa namshangaa! Akaombe msamaha kwa aliowauwa Kenya kwanza!
Corruption and lack of good governance na kutokuwa na utaratibu wa accountability of sanctions and imprisonment ya wezi ndo hivy ilivyo kwa sasa kwa kila s sector Tanzania
Jawabu ni serikali majimbo 40% ya kodi ibaki Arusha mfano 2022 TRA ukitoa utalii ilikusanya bilioni 450 ni jiji la pili mapato Baada ya Dar, 40% % ni bilioni 200 kwa mwaka ziboreshe miundombinu ya Arusha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.