Recent content by MzalendoHalisi

  1. M

    Nchi jirani ya Burundi, iwekwe kwenye maombi kwa wale mnaoomba!

    Burundi shida nini? Wakubali tu kuwa mkoa wa Tz umaskini utaisha
  2. M

    Wakatoliki na mafundisho: Simulizi mbalimbali za maisha ya watakatifu

    Na mimi mtakatifu babu yangu Mmatumbi mbona hatumkumbuki??
  3. M

    Je, unajua kinachoiliza Tanzania, nchi ya Rwanda, Malaysia, China na Singapore walifanya miaka 40 iliopita na wengine miaka 15 tuu? njooni tuyaone

    Kwa hiyo wewe unakubali wazanzibari milioni 2 wawe na wabunge 80 Dodoma na Dar ina watu milioni 6 kuwa na wabunge 14? Hii ndo katiba unaypopenda? Hapana!
  4. M

    Maeneo yaliyokatwa umeme, Dsm hii tuiiteje?

    Hadi Kimara yote hakuna umeme
  5. M

    Tanzania inavyoweza kupiga Hatua Kiuchumi na kielimu

    Sawa uko sahihi! Angalia Mauritius nusu wahindi robo Waafrica na robo wazungu! Pia angalia Singapore nus Wachina nusu Malay! Haya mataifa yameendelea sana! Sisi tunawagopa wageni eti watachulua kazi za wazawa! Hata hapa Tz angalia aliko Mchaga pameendelea! TUSIWAOGOPE WAgENI WATATUPA MWANGA WA...
  6. M

    4 Bedroom House on 400sqm Plot Up to Roofing with Decra Tiles TZS 105M

    Nyumba nzuri! 105m ni pamoja na Plot? Hii ilikuwa 2015 sasa ni kiasi gani Mkuu!
  7. M

    Matokeo Kidato cha Sita 2009

    Ha ha ha!! Alijaenda Chuo akapata First Class Sasa yuko Shirika Moja Kubwa Ana Kazi Nzuri! Tunamshukuru Mungu
Back
Top Bottom