Mwacheni akafanye kazi akharibu ataondolewa uzuri JPM hana rafiki na wazembe kazin.Awe alikua anafanya mambo ya umalaya kama amebadilika na ana uzalendo anafaa kibaya ni kua na kiongozi mwizi mpiga dili.Hao wasomi na wazee tunaowataka sisi ndo waliotufikisha hapa wamefanya mambo ya ovyo ya...
HAPANA MBOWE ALICHOSEMA NI KWELI MASHA ALIKUWA HANA MSAADA WOWOTE KWA CHADEMA YA SASA SIO CHADEMA YANGU YA ZAMANI YA DR SLAA MANA YA SASA LAZIMA UITUKANE SERIKALI,MTUKANE JPM,MASHA HAKUA ANATUKANA NDO MANA ANAMBIWA HAKUA NA MSAADA WOWOTE
HAKUNA KITU KAMA ICHO MASHA AMEONA WAPINZANI WAMEPOTEA HAWANA HOJA YA MSINGI ETI BASHITE NDO HOJA YA MSINGI MTU ANAKOMAA NA BASHITE BADALA YA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI.
Tumekuelewa mkuu heri wewe unalijua ilo sasa hivi hicho chama ni dustbin mafisadi papa utawakuta umo CCM ikitapika fisadi CHADEMA wanapokea wanasema tumepata jembe
NI KWELI KABISA KIONGOZI UKIGUNDUA UMEPOTEA NJIA NA UMESHATEMBEA KILOMITA NYINGI,UONI HATA DALILI YA KUFIKA,INABID URUDI ULIKOTOKA.KURUDI ULIKOTOKA KUNA GHALAMA YAKE,NA MAUMIVU LAZIMA UVUMILIE NA KAMA ULIKUA NA WATOTO WATAAKUPIGIA KELELE WATAKUAMBIA UNATUSUMBUA BABA WAO HAWAJUI KWAMBA...
Kweli kiongozi nakuunga mkono JPM ana mapungufu kama binadamu na sio malaika lakini mapungufu yake hayana athari kwa wananchi asa wanyonge,wanaopinga ni wale waliokuwa wamezoea vya bure.kwanza JPM anapenda EQUALITY majizi na mabinafsi hayapendi na ndio yanayomchukia,yalitaka hela zetu sisi...
Ni kweli hakuandaliwa kuwatetea majizi na kuwalinda wazungu ili waendelea kutwibia madini yetu,ulitaka tuwape majizi urais waendelea kututesa walala hoi na wewe na maswaiba wako muendelea kupiga dili na kusafiri nje?au ulitaka serikali ya kupiga dili ili wapinzani wapate mtaji kwa udhaifu wa...
Mwenzako anakimbia kesi ameenda kujificha, kule upande wa pili ni wazuri wa kubadilisha gia angani na wanaweza kumtetea kama waliwatetea wa Richmond na wazungu waliotwibia madini yetu wengine wakadiriki hata kuwa mawakili wao wa kisirisiri akawe nyarunda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.