Recent content by mzalendo namba moja

  1. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Uongozi imara ni ule uliothibitishwa na wananchi
  2. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Niponipo bado mpaka nione nyote mmeshindwa 😁
  3. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Gen Z India waanzisha "chama cha siasa cha mende" (Cockroach Janta Party) baada ya Jaji Mkuu kuwaita vijana wasio na ajira kuwa ni sawa na mende

    Sikuwa najua, maana nmeona kitu hii imetrend mnoo, kumbe sasa nmeelewa.. Gen z ni moto wa kuotea mbali.
  4. mzalendo namba moja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba muongozo wa Jinsi ya kuvunja Ndoa au kutoa talaka

    Khasante sana senior, imenirahisishia hii...barikiwa mkuu.
  5. mzalendo namba moja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba muongozo wa Jinsi ya kuvunja Ndoa au kutoa talaka

    Kwa upekee nipende kuwashukiru nyote mlionipa ushauri, nmepata pa kuanzia, nitafanyia kazi ili tuone mwisho wake.
  6. mzalendo namba moja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba muongozo wa Jinsi ya kuvunja Ndoa au kutoa talaka

    Ikiwa yuko mtu ana specific details, naomba msaada tafadhari. Ndoa ni ya Kikristo, muhusika anahitaji kuvunja na kuendelea na maisha mengine. Kuna sababu za kuvunja, sasa naomba kujua mchakato wake.
  7. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania My English Learning Diary.....Est: Wed, June 2025

    Alright fella, thanks for submission.
  8. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania My English Learning Diary.....Est: Wed, June 2025

    Be warned man, the use of kiswahili is prohibited here!
  9. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania My English Learning Diary.....Est: Wed, June 2025

    Ouh, didn't see the difference before, thank you fella
  10. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania My English Learning Diary.....Est: Wed, June 2025

    Thank you very much, I truly appreciate your keen eye.
  11. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia password kuzima simu yako

    Mkuu, nashukuru Naomba kuuliza, namba ya ku-unlock simu ya mkopo iwe free
  12. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Nimeishi na hali ya kutisha ya akili (kama si mtu halisi) tangu nikiwa na umri wa miaka 8 hadi sasa

    Daaah pole sana, ni tatizo la wengi..umetafuta namna nzuri ya kulielezea lakini kuna wengi hatujui namna ya kueleza hivyo....pole sana mkuu, namna pia niulize, wewe ni muumini wa dini ama dhehebu fulani ama ni Atheist?
  13. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania My English Learning Diary.....Est: Wed, June 2025

    Most us looks the language as the enemy 😁😁😁 but we better practice for competency...I saw one Kenyan youngster mocking us that " despite that, he is studying in village, a place too remote from Nairobi but he is good in English than most Tanzanians"
  14. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Balo gani unataka nikutajie bei ya Godown?

    Naomba namba yako mkuu
Back
Top Bottom