Recent content by mzalendo namba moja

  1. mzalendo namba moja

    Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

    Makundi ya watu wanaoongoza kimafanikio:- 1.Wafanyabiashara (hapa ndio miamba ipo) 2.Wanasiasa wa Africa 3.Wenye vipaji 4.Wasomi
  2. mzalendo namba moja

    Ado Shaibu aweka Wazi Wajumbe wa Sekretarieti ya ACT-Wazalendo

    Mbona kwenye teuzi yule kijana aliyejiteka "Abdul Nondo " simuoni, ama anakwenda kusoma huko Denmark?
  3. mzalendo namba moja

    Kijana wa kiume sipendi mpira wala masumbwi, je kuna shida?

    I guess unapenda sana indoor life, nature walk na movie tena za kibabe
  4. mzalendo namba moja

    Kijana wa kiume sipendi mpira wala masumbwi, je kuna shida?

    Mimi pia, na sipendi kabisa kusikia story za mipira na pombe..kidogo nafuatilia siasa na mambo yangu sasa.
  5. mzalendo namba moja

    Dan Cooper: Mtekaji ndege asiyefahamika kwa miaka 40 sasa

    Nakumbuka season ya kwanza movie ya " prison break" Dan Cooper alionyeshwa kama miongoni mwa wafungwa wa fox river na baadae pesa yake ikaanza kugombaniwa na akina Michael, Theodore Bagwell na wengineo...kumbe hii ndio story yake, very interesting.....naamini siku za karibuni mystros wa hacking...
  6. mzalendo namba moja

    Chuo cha Ardhi kinapaswa kuchukua hatua dhidi ya mabinti mapacha waliokiri kufanyiana mitihani

    Mitihani Bado ni kipimo kibovu cha kupima uelewa wa mtu, acha wafanyiane hakuna shida.
  7. mzalendo namba moja

    Natafuta connection ya maduka ya jumla ya liberty jijini Mwanza

    Nenda Mwanza mwenyewe, simu hailimi.
  8. mzalendo namba moja

    Ferric chloride inapatikana wapi?

    Kuna uzi nmeona jamaa ana chemical reagents, mcheki anaweza kusaidia mkuu
  9. mzalendo namba moja

    Nahitaji Mold/ fremu za kutengeneza mikanda ya gypsum

    Kama hauna haraka agiza kaka.
  10. mzalendo namba moja

    I dedicated my Monday to read this beautiful story

    Mkuu kwema, mbona Mimi nikiingia kwa browser, browser inaanza kumisbehave...so far, hongera kwa kazi nzuri
  11. mzalendo namba moja

    Ramadhani Brothers waibuka washindi shindano la America's Got Talent Fantasy League, wanyakua Tsh milioni 637

    Wanasarakasi wawili kutoka Tanzania kwa jina Ramadhan Brothers wameibuka washindi katika mashindano ya American Got Talent. Wawili hao wanaoshirikisha Fadhili Ramadhan na Ibrahim Jobu, walishinda taji hilo Jumatatu usiku. Waliwashinda wapinzani wao wakuu Pack Drumline, V. Unbeatable, Sainted...
  12. mzalendo namba moja

    Mdogo wangu anatafuta shule ya kufundisha physics na math o level

    https://www.jamiiforums.com/threads/mwalimu-wa-physics-na-maths-anahitajika.2184676/ Mwalimu wa Physics na Maths anahitajika
  13. mzalendo namba moja

    Nawezaje kupata ajira rasmi nchini Afrika Kusini?

    Nafikiri ni kupiga course kwanza, ukiwa na acertificate zao inakuwa utelezi.
Back
Top Bottom