Recent content by mzalendo namba moja

  1. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Rais Samia kukaa mapumziko ya Eda siku 90

    Ni balaa..mama anaenda Eda
  2. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda George Desmond Kamurasi Named New King of Tooro Kingdom

    They hv played fouls..The king had the heir and everyone knew
  3. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Voices From Within: Nimeelezwa Makamu Rais Mstaafu Balozi, Dr. Emmanuel Nchimbi Yuko Salama, Hajazuiliwa, Hajashikiliwa ni Ameamua Kutulia, Kunyamaza!

    Aaah kaka paschal.. Nadhani sauti zako kuna Nyakati hupaswi kuziamini sana, zinakupotosha na kutupotosha vilevile😁😁😁😁 Unakumbuka zilikuambiaga "2025 mpango ndio mpango nzima" na zikakusaliti😁😁🙌🏽🙌🏽
  4. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu wa kike anataka nimuoe, je tutakua tumefanya maamuzi sahihi?

    😁😁😁, it's not for love, lkn u seem being her last choice, the choice of failure...be keen, ndoa si kitu cha kukiendea kwa Nadharia, ikiwa hisia hazimatch, subiri kwanza... I had one friend of mine, hivyohivyo..nilimkatalia akatakata na alinielewa...ndoa si sehemu za kufanya majaribio aseee...
  5. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Leo Mahakamani 03 September, Shahidi wa tatu Aman Sam Golugwa anaendelea kutoa ushahidi wake

    Duuh!! Ripoti ya Thabo Mbeki kuna mwenye nayo tuanze kujisomea?
  6. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri - 2, Septemba 2026

    Golugwa si mtu wa details, lakini atawasilisha kile atawasilisha..ushahidi mzito ulikuwa kwa JJ
  7. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri - 2, Septemba 2026

    Sa hizi watu wameanza kuflow na propaganda za mitandaoni, eti story za Ishengoma ndio zinatumika kama sehemu ya dodoso😁😁😁🙌🏽🙌🏽, sema anayewaagiza Hawa jamaa, sijui tu..... Ni kama pumzi imewakata hivi, majaji nao kimyaaa
  8. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri - 2, Septemba 2026

    Angalieni watu wako active, otherwise mnamnyonya damu huyu mwenye kutoa updates..
  9. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 1, Septemba 2026

    Nadhani sasa wameamua kuitumia mahakama kutaka kuvuruga reputation ya chama😁😁😁
  10. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 1, Septemba 2026

    😁😁😁😁, kutoka uhaini mpaka kumuattack mtu moja kwa moja
  11. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 1, Septemba 2026

    Sio wote, ni wewe na boss wako😁😁🙌🏽🙌🏽...kwa boss wa wakili mkuu ni nani?
  12. mzalendo namba moja

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 1, Septemba 2026

    Kumbe tungesoma civics vizuri, mambo ya sheria unasimamia kucha vizuri tu na wakili anabaki mdomo wazi...sasa ona mtu wa school of law na 15 years of Experience akirushwa kuchurachura na mtu na civics tu😁😁😁😁
Back
Top Bottom