😁😁😁, it's not for love, lkn u seem being her last choice, the choice of failure...be keen, ndoa si kitu cha kukiendea kwa Nadharia, ikiwa hisia hazimatch, subiri kwanza...
I had one friend of mine, hivyohivyo..nilimkatalia akatakata na alinielewa...ndoa si sehemu za kufanya majaribio aseee...
Sa hizi watu wameanza kuflow na propaganda za mitandaoni, eti story za Ishengoma ndio zinatumika kama sehemu ya dodoso😁😁😁🙌🏽🙌🏽, sema anayewaagiza Hawa jamaa, sijui tu.....
Ni kama pumzi imewakata hivi, majaji nao kimyaaa
Kumbe tungesoma civics vizuri, mambo ya sheria unasimamia kucha vizuri tu na wakili anabaki mdomo wazi...sasa ona mtu wa school of law na 15 years of Experience akirushwa kuchurachura na mtu na civics tu😁😁😁😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.