mm ushauri wangu, kwanza kabsa muombe sana Mungu kabla ya yote pili, inabidi umwambie huyo mwenzako matendo alioyoyafanya yote aliyoyafanya unayajaua na ushahidi unao, nasema hvyo kwasababu mtu akijua kosa kama bado dhamira yake iko hai basi kitamuuma sana na atajirekebisha, mwisho kabsa mm...
i have been thru the same shit twice ,na nilifanya approach uliotumia ww ingawa mm sikusafiri au kubadili namba nilichofanya nikusitisha tu mawasiliano kabsa, kwahyo mm na support kabsa hatua uliochukua, hawa wanawake wa sasa jman tuwaone tu hvi sio watu kabsa, unamchukua mwanamke hana kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.