Mtoa taarifa, taarifa yako iko shallow sana. Toa takwimu ambazo MDH na washirika wake wamezipika nasi tuanze kufuatilia ama kuchangia zaidi kuanzia hapo. Vinginevyo hizi zitabaki kuwa tuhuma tu kama umbea wa salon za akina mama.
Labda mie ndo sijamuelewa mwenye bandiko lake. Anachopinga hapa ni kuwachukuwa wanakijiji wote kwenda kwenye mashamba ya bangi yaliyobainika na kuyafyeka kwa umoja wao. Anakiri kuwa hili jukumu ni la jeshi husika. Nahisi yuko sawa. Labda tu biti limekuwa kali.[emoji1]
Ingependeza angetoa taharifa kwa waheshimiwa wa usalama wa taifa walishughulikie hilo kundi. Sidhani kuyasema kwa waandishi wa habari italeta impact yeyote. Unless anataka kuionnesha dunia kuwa ana uwezo mkubwa kuliko wenye mamlaka yao ambao ni usalama wa taifa. But anyway, hope wahusika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.