Recent content by Myhope

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tume ya Utumishi wa Umma yaruhusu mtumishi kurudi kazini baada ya makosa ya mwajiri: Je, anastahili kulipwa mishahara aliyokosa?

    Mtumishi wa umma aliyerudishwa kazini na Tume ya utumishi wa umma kwa masharti kwamba shauri likaanze upya kwa sababu Mwajiri alikosea utaratibu wa kisheria, akirudishwa anastahili kulipwa mishahara yake kwa kipindi alichokuwa nje ya kazi au hastahili kulipwa? Naomba msaada hapo.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jaribio la kubaka

    Je kuna kosa la kujaribu kuiba?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kutotendewa haki kwenye kikao cha nidhamu

    Anatakiwa kukata rufaa wapi?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa haya kuhusu Hati ya Mashtaka

    Kwenye kesi ya kikazi, Afisa utumishi anasaini hati ya mashtaka badala ya mamlaka ya nidhamu.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa Umma: Sehemu Sahihi ya Kupeleka Malalamiko Ukifutwa Kazi

    Inatakiwa afanyeje ili akate rufaa?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa Umma: Sehemu Sahihi ya Kupeleka Malalamiko Ukifutwa Kazi

    Na huko Tume ya utumishi wa umma huo mgogoro kama Mahakama imeamuru uende huko utapokelewa au utakuwa nje ya muda?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ukubwa wa mishahara ya Wabunge na kutolipa kodi siyo uzalendo ni ubeberu

    Inasikitisha sana kiukweli
  8. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria

    Ni kosa la jinai au?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa Umma: Sehemu Sahihi ya Kupeleka Malalamiko Ukifutwa Kazi

    Kama mgogoro ulitokea 2017 kabla ya mabadiliko ya hiyo sheria mwaka 2019 je?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria

    Hivyo ni lazima ukamatwe si ndiyo?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa haya kuhusu Hati ya Mashtaka

    1. Hati ya Mashtaka inapoandaliwa na mamlaka isiyo halali kisheria hapo inakuaje? 2. Hati ya Mashtaka ambayo imerejea vipengele vya kisheria visivyo sahihi, hili nalo kisheria limekaaje? Naomba kupewa msaada hapo.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria

    Majibu hapa tafadhari
  13. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria

    Hawaji [emoji23]
  14. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria

    [emoji120]
Back
Top Bottom