labda kama kuna Moshi nyingine sio ile ya Kilimanjaro, ambayo hata mwalimu nyerere alipingwa uchaguzi wa mwaka 1958. je unaongelea kilimanjaro au Kongwa acha masihara.wamepita bila kipingwa au wamenyimwa form. weka wazi
unaijua QUICK BOOK, Je utahitaji, nitafute nikupe bure maana nataka hii nchi iendelee. na pia sihitaji hata 100 maana kuna watu wanaweza kuiona hii km fursa. nipo DSM
why you guys mix up investment asset and turnover. those are quite different stuffs. your house is asset/ investment, your salary at the end of the year is annual turnover.
mkuu, nakuomba take from me, kujiajiri mwenyewe kunalipa balaa fanya maamuzi na usiangalie nyuma, unatakiwa kuwa na sifa chache tu muhimu. yaani moyo wa simba, speed ya swala na kulijua soko lako. i mean be a visionary, be patient, know your customer, know your product and know the Industry...
Ndugu wanajamvi,
nina kampuni ya Electromechanical kulingana na changamoto nilizopitia nimeona ni jambo zuri na wakati muafaka kupata wanahisa wengine kutoka popote pale katika uso wa dunia.
Watu ninao hitaji ni shart wawe na sifa kuu 2. wawe wanaweza kufanya kazi kwa mikono yao na wawe na...
hiki kitu watu wengi hawajui, kumiliki.kampuni ya ujenzi ni km kumiliki gari, sio lazima kuwa dereva ndiyo umiliki gari, ila kumiliki gari ni sharti liwe na dereva atakae endesha, pia kampuni ya ujenzi yeyote anaweza mili ila ni lazima awe na Engineer.
mfano Rostam anamiliki Caspian, lakini...
Wanajamvi salaam.
Nimeona kama kuna uwezekano wa kuunganisha mawazo, na rasilimali na kuwa na kiwanda kidogo ambacho kitakuwa kikimilikiwa na watz kama 10, bila kuzidi.
kuna msingi ninao na ninaufanya mtaji tena mkubwa, mimi ni mshauri wa viwanda vingi hapa nchini. na pia nimeshiriki sana...
hii ni mali ya Mfanyabiashara wa muda mrefu sana katika Ardhi ya Tanzania, anamiliki hotels, metal factory, vinywaji na biashara nyingine nyingi, sasa ana neelcanth cable, anaitwa Subash Patel
Kwa nyongeza ni kuwa Moi alikuwa Mbunge wa kawaida, akawa makamu wa raisi akiwa mbunge kwa miaka 13, akawawa Raisi kwa miaka 24 akiwa bado ni mbunge, na akatoka madarakani akiwa mbunge. hivo kofia yake ya ubunge kaitumikia kwa miaka 40.
ufafanuzi, miaka yote Moi aliyopata kuwa Rais, pia alikuwa mbunge kutoka kwa kabila la Kalenjini yaani jimbo la Pokoti Magharibi, hapo awali katiba ya kenya ilimruhusu Rais kuwa mbunge, na katiba ilimzuia Rais kuvunja Bunge, na kama akifanya hivo naye pia atakuwa sio Rais tena.
Kimahesabu ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.