Gang Chomba popote ulipo swahiba njoo utie neno hapa...akizungumziwa dinho mimi kutia neno wakati upo ni kuwakosea heshima wapenzi wa huyu kiumbe pekee aliyeweza kuongea na mpira na mpira ukamsikiliza
hakuna kitachotuzuia kubeba ndoo labda fainali ingekuwa home and away kidogo mechi ingetiwa ugumu na marefa ila kwa kuwa fainali ni moja tu kilichomkuta dada mtu real madrid na mdogo wake wa kike barcelona kitamkuta hikohiko...ni mwendo wa kuwazimia fegi wale vigoli wao madoido kina messi...
ancelloti amekiri kama pirlo aliwavuruga sana pale kati kwani jinsi alivyokuwa akicheza alisababisha viungo wake waache sana nafasi hivyo juve kuwa huru kushambulia.....halafu uzuri pale olympic stadion tuna upepeo napo (tushaingia fainali mechi ya marudiano ni kukamiisha ratiba) kwani mwaka...
mabeki wa kitaliano si unawajua vizuri lakini au?....muulize fundi wa mpira zizzou au ngiri suarez!....max allegri hupangaga ukuta wa mabeki watatu ila kwakuwa nyie wabishi tuliongeza level moja jana wakawa mabeki wanne...sebuleni kwenu kwakuwa mtakuwa mnapigiwa vigelegele na mke tunamtaka...
mwanangu chomba hizo hufananisha na dhambi.....kipawa cha fundi pirlo huwa havipatikani mara kwa mara!vipaji kama vile huzaliwa kila baada ya miaka hamsini au inaweza hata hiyo miaka hamsini ipite kisizaliwe kipaji kama kile.....kabla huyo mtoto hajaanzisha huo ilibidi akamuulize carlo ancelloti...
viande wa kabumbu wanaanza kushobokea dundo la buluda.....wakati wajuzi wa mambo tulishajua kitambo kama madrid kukutana na sisi ndio baba jeni bye bye!.....kamba ya morrata ilizalishwa na pasi 27 za kibaba!haijawahi kutokea msimu huu wa klabu bingwa ulaya!yaani sasa hivi juve tunashinda na...
ukiwa hai usikose kuwaangalia bianconeri wakinyanyua ndoo hiyo tarehe 6 june mwaka huu pale Olympiastadion,Berlin Ujerumani....mwaka huu ni kimyakimya!....jana tumecheza kwa discipline sana!tunarudisha heshima ya calcio!yule morata mtu mbaya ana kasi ya umeme!sioni wa kumzuia ulaya ya...
hata kama maisha yake siyo perfect ila suala la mtoto wa kiume kumegwa halihitaji ushauri wa hekima....angebakwa kweli ila kama anamegwa kwa kukubali hiyo haikubaliki popote pale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.