tatizo ni uchama unatawala zaidi ya uzalendo(utaifa). Tz tutaweza kusonga mbele siku tukitambua kutenganisha hivi vitu viwili. Vinatukwamisha sana kufikia malengo jaman. Kiti cha Ana Makinda hakiangalii nini kimesemwa ila kinaangalia nani kasema. Hilo ndo tatizo kubwa. Ila Jogoo awike au asiwike...
wadau wa jamii forum natumai mko pouwaaaaa!!!!!!!!!
Ebwana leo niko maeneo ya tabata kinyerezi.huku ndo kwanhiho za maendeleo yanacvhipuka na vigogo wengi wa seririkali mamelangua mahekali ya aridhi ya kutosha tu. any way siyo mada yangu ila ninachotaka kuzungumzia hapa ni namna ninavyo ona...
mr mie naona chama cha cdm kisianze kupanic cz mimi nina wasiwasi na akili ya huyu jamaa so called "shibuda" kwanza sijui hilo jina lina maana gani bado nalifuatilia cz kwetu uhayani huwa tuna msemo wa "EIBALA LIBI LTA NYINALYO" na wazungu wanasema "a bad name kills its master" labdajina lake...
ni mtazamo wako tu ipo siku nawe utakivua gamba na uvae gwanda. na siku hiyo ndo utakuwa umekombolewa rasimi kifikra. ombi langu kwachama cha cdm siku hiyo utakapokombolewa,kadi wakupe bule.
mheshimiwa shibuda ni kiumbe mdogo sana kwa watu makini kama wana cdm kumjadili ni kumpaisha na kumtangaza kwa watz wasomjua kwa ujinga wake. Yule ni shushushu wa gamba tatizo hajui kufanya kazi alotumwa kwa ufanisi na hivyo bas mpaka dis tym yameshahshinda. Cdm ni jahazi imala kamwe haliwezi...
Ndugu wana jamii forum naom ba tusaidiane katika swali langu hili labda kwasababu jf ni mtandao makin na wenye wachambuzi makin pia sina hofu tutasaidiana katika hili. Leo hii nazungumzia chuo kikuu cha Dodoma Chuo ambacho kimejengwa kwa sifa kubwa na nin chuo kikubwa Tanzania,Africa mashariki...
Du!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! this is amazing. mi ctaki kukubali kwamba chama makini [CDM] kilienda ikulu kwa Jakaya kwa cku mbili then wawe na makubaliano mawili tu. kama ndo hayo bas watakuwa wameshindwa jazi na wao itabid sisi wenyewe twende ikulu kujitaftia muhafaka wa katiba mpyya tz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.