YESU siyo MUNGU ni mwana wa Mungu acheni kuvutia bange chooni,nenda kasome Marko1:11.
Mungu hawezi kuingia kwenye tumbo la mwanamke (mwanadamu) ili azaliwe kupitia kwenye uke.
Mungu si mchezo wewe.
Yaani akitua Duniani tu,Dunia yote inapasukapasuka vipande na kubakia Tupu.
Binadamu wanaopigana na kuua wenzao kwa madai ya kumtetea Mungu ni Waislamu pekee Duniani nzima.
Mungu huwa hatetewi na kiumbe chochote Duniani.
Bali nguvu zake na uwezo wake wa asili humpigania automatically.
Hao wanaodai kumpigania Mungu ni Dini za Shetani,kwa sababu hata Shetani hujiita Mungu
Binadamu wanaopigana na kuua wenzao kwa madai ya kumtetea Mungu ni Waislamu pekee Duniani nzima.
Mungu huwa hatetewi na kiumbe chochote Duniani.
Bali nguvu zake na uwezo wake wa asili humpigania automatically.
Hao wanaodai kumpigania Mungu ni Dini za Shetani,kwa sababu hata Shetani hujiita Mungu
Taifa linapokuwa na Umaskini wa kipumbavu unaosababishwa na viongozi wapumbavu pumbavu matokeo yake Panya Road huzalishwa,hawa ni vijana waliokata Tamaa ya maisha,wanashinda njaa,na wakiugua wanakufa kwa kukosa Pesa za matibabu.
Roho zao zimejaa visasi,ghadhabu na unyama.
Baadhi yao walifaulu...
Taifa linapokuwa na Umaskini wa kipumbavu unaosababishwa na viongozi wapumbavu pumbavu matokeo yake Panya Road huzalishwa,hawa ni vijana waliokata Tamaa ya maisha,wanashinda njaa,na wakiugua wanakufa kwa kukosa Pesa za matibabu.
Roho zao zimejaa visasi,ghadhabu na unyama.
Baadhi yao walifaulu...
Mtaji wao mkubwa ni idadi kubwa ya Watanzania wajinga, mtu mjinga ni mtu mwenye akili duni iliyochoka hata kifikra, ni mtu hatari ambaye anaweza kufanya lolote ili ashibe tu bila kujali nini kitatokea.
Ni CCM ya kina Mwigulu Nchemba wanaokula mishahara ya mamilioni ya pesa kwa mwezi, ndo...
Mnajdanganya sana nyie wala hamna fikra, wakati Ukraine ikigeuka magofu,Cuba na Venezuela zitakuwa majivu, huku Moscow na New York zikigeuka vifusi na nyuklia ndo itakuwa jawabu la mwisho.
Nyie wana CCM hamnaga akili kabisa mnadhani Urusi atashinda vita kirahisi hivyo?
Marekani na Urusi ni Simba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.