Recent content by My Name is J

  1. My Name is J

    Naomba Ushauri, nimefilisika baada ya kuoa!

    Mambo yatakaa vizuri Piga moyo konde
  2. My Name is J

    Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

    Nina hizo sifa. Unanisaidiaje?
  3. My Name is J

    Hizi kazi akiwa nazo mwanaume anaweza kula tunda hadi kusaza bila kuhonga ama kutumia gharama ndogo sana

    Ngoja nianze kukaanga chips basi au? Inachukua muda gani kuanza kula tunda?
  4. My Name is J

    Taafikiane hili kwanza

    Mwanaume hashikwi kika sehemu
  5. My Name is J

    Mwanaume akiwa hivi mimi Hoi

    Sifa zote ninazo, Kama tu ulikua unataka kunizungumzia mimi kijanja
  6. My Name is J

    Ni drama, ni uhalisia ama ni kuchafuana? Nani yuko nyuma yake

    Nitulie kwanza. Vita ipo kweli wala sio utani
  7. My Name is J

    Licha ya uzuri na elimu, dada yangu hapati mwanaume wa kumuoa

    Kweli kabisa, nilichoona kwa wanawake wengi hasa wa umri huo wa kuolewa wanaangalia sana mwanaume mwenye kipato fulani. Bahati mbaya sasa hivi mambo magumu vijana wenye vipato vya kueleweka ni wachache mno
  8. My Name is J

    Licha ya uzuri na elimu, dada yangu hapati mwanaume wa kumuoa

    Tunapoelekea ndoa zitakua ngumu sana, vijana hawathamini tena ndoa.
  9. My Name is J

    Napata wapi mtu wa kuongea naye?

    [emoji123] umesema kweli
Back
Top Bottom