Kweli kabisa, nilichoona kwa wanawake wengi hasa wa umri huo wa kuolewa wanaangalia sana mwanaume mwenye kipato fulani. Bahati mbaya sasa hivi mambo magumu vijana wenye vipato vya kueleweka ni wachache mno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.