Recent content by MY EYES

  1. MY EYES

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Nini kilicho kufanya uulize.
  2. MY EYES

    Jambo gani ulilowahi kulifanya kila ukikumbuka unajuta

    Kujifanya mbele za watu nacheka kumbe nalia
  3. MY EYES

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu msaada kwa 1xbet nikidepost kwa mpesa ya tanzania itakubali kama hivyo au itagoma wakuu
  4. MY EYES

    Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

    Mie unambia usijali hicho ni kitu rahisi sana muda ukifika utapata,namshukuru sana.
  5. MY EYES

    Nahisi mchumba Wangu Ataniletea mikosi

    Cha maana na cha kuangalia katika miezi saba hiyo ukupata mkosi wowote, anakupenda wampenda na ni mtu wa muhimu sana kwako jaribu kuangalia ni wanawake au wanaume wangapi ambao wapo wazi kihivyo kuelezea maisha yao yandani kabisa ni wachache sana,yeye kukueleza hayo inamaana amekuamin sana kama...
  6. MY EYES

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Samahan mkuu iyo sehemu ya time kwenye betpawa naipataje au ndio hakuna
  7. MY EYES

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    du sikujua kama itakua hivyo da niliweka 50 nilifikili itakua kama nilizo jaribu humu ila sh 8 si mbaya
  8. MY EYES

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu ipo sure nimpangie hapa kwa dau ambalo litanipooza kidogo
  9. MY EYES

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwani hakuna mbinu nyingine tofaut na hiyo
  10. MY EYES

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    wakuu hivi bet hizi zikoje kila nikijarbu kucheza nikiweka kapesa ka maana napigwa ila nikiweka visent nala ambavyo hata siwezi kutoa,nifanyeje wakubwa walau nami nimpige huyu jamaa.
  11. MY EYES

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Du pole ila nayo yatosha maana angepigwa angelia mwenyewe.
Back
Top Bottom