Aweeee..
Igama la minguu JAIVAH weee
Huyo mtoto kaniona wakati nmependeza,
Kaona dorime ya mitungi juu ya meza,
Ananiangalia huku macho analegeza,
Nami nampimia akijitusu natembeza (×2)
Nikamwambia hapa mitungi BURUDA,
Washa hata kitu BURUDA,
Na kama sio kesi, kama uko fresh hapa hata mikasi...