mongoli
JF-Expert Member
- Feb 25, 2024
- 734
- 1,742
🙂🙂
😂😂 Sasa si ndo uchawi wenyewe sasa.. tungekuwa tunajua procedure tungeshafanya
😂😂 Sasa si ndo uchawi wenyewe sasa.. tungekuwa tunajua procedure tungeshafanya
Karibu Tunduma..Sasa inakuaje mpka unaaza kutoa funza
Ukioza.. 😃 aah.. sijui mieSasa inakuaje mpka unaaza kutoa funza
We mwenyeji? Unajua kitu kuhusu hii?Karibu Tunduma..
Hii version ya tatu inawafaa sana makuchu.Huo utajiri wa uchawi wa funza una version 2
1. Funza wanatoka kwenye mwili wako kisha wanageuka hela
2. Funza wanatoka mwilini mwako kisha wanakusanywa wanachanganywa na madawa yanakuwa majimaji au ungaunga unaweka kwenye eneo la biashara, wengine wanapaka, wengine wanakunywa, biashara hiyo inapata wateja wengi sana.
NB: kuna version nyingine wanasema dawa inatiwa kwenye mqundu kupitia bomba kubwa size ya chupa yenye dawa inazamishwa mqunduni kwa ndani kama siku 7 mpaka 21 mwako kisha unaanza kutoa funza mqunduni mwako unawaharisha.
Hizo story nilizisikia zamani kwenye kipindi cha RFA chenye story za kutisha.