Recent content by My county

  1. My county

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Wapiga dili hawatakubali kazi ya JPM
  2. My county

    GE2020 Uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Kuelekea Septemba 7, 2020

    Jemedari wetu mchapakazi, KURA KWA JPM
  3. My county

    Eid Mubarrak to all members of JamiiForums

    Kheri ya Sikukuu ya Eid el Fitr kwa watanzania wote. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. My county

    Tembea kilomita 200 kwa shilingi 22,500 tu kwa gari lako

    ~ Funga mfumo wa gesi asilia kwenye gari lako ~ Mfumo wako wa petrol au diesel uliopo hauondolewi unabaki ~ Kwa Mtungi wa kilo 15 gesi asilia unaogharimu shilingi 22,500 unatembea kilomita 200 ~ Chaguo litakuwa lako kutumia mfumo wa gesi au petrol/diesel uwapo safarini. GARI LAKO SASA...
  5. My county

    Dar kuiaga foleni rasmi

    Picha: Mapishano ya Barabara (Ubungo Interchange) yafikia patamu, Dar es Salaam kuiaga foleni rasmi, mradi huu ni matokeo ya maamuzi ya Rais mzalendo Mhe. Dkt John Magufuli katika kuimairisha miundombinu ya Barabara nchini. Mradi unagharimu kiasi cha Tsh Bilioni 188.71 Hii ni Awamu ya Kazi
  6. My county

    Augustine Mahiga: Mwanadiplomasi anayeheshimiwa kuliko wote Tanzania

    Dkt Augustine Mahiga alizaliwa Agosti 28, 1945 huko Tosamanganga, Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa (atatimiza miaka 75 ifikapo Agosti mwaka huu). Amesoma elimu ya msingi katika shule za Serikali enzi ya mkoloni na alihitimu darasa la VIII muda mfupi baada ya uhuru. Safari ya elimu ya Dk Mahiga...
  7. My county

    Rada Mpya itakayofungwa itaisaidia Tanzania kuwa na mamlaka na anga lake, kongole Rais Magufuli

    NA. GULATONE MASIGA +255738969820 masigag1987@gmail.com Mwananchi kutoka Moshi Tangu uhuru Tanzania imekuwa na rada moja tu ya kuongozea ndege iliyonunuliwa mwaka 2002 ambayo hata hivyo uwezo wake umepungua kutokana na mabadiliko yanayotokea kwa haraka katika sekta ya usafiri wa anga. Hii...
  8. My county

    Magufuli's strategy awakes the researchers on covid-19 treatments

    The Arizona Researchers Chasing Herbal COVID-19 Treatments ~ ANTHONY WALLACE While the world awaits a man-made coronavirus vaccine, Valley-area researchers are scrambling to uncover a more natural and controversial type of treatment: herbal remedies. Arizona State University and the Southwest...
  9. My county

    Zitto afuta shauri la kumuongezea muda Prof. Assad kuwa CAG

    Weka wazi sasa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. My county

    Zitto afuta shauri la kumuongezea muda Prof. Assad kuwa CAG

    Acha kuchanya mafaili, hebu twende taratibu; fafanua hizi hela kwa zilichotwa wapi na nani? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. My county

    Zitto afuta shauri la kumuongezea muda Prof. Assad kuwa CAG

    ZITTO AGALAGAZWA NA MAWAKILI WA SERIKALI MAHAKAMANI LEO Yah: Shauri la kikatiba kati Zitto Zuberi Kabwe Dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, AG, CAG na Profesa Assad kuhusu kutomwongezea muda Profesa Assad kuwa CAG. Baada ya majibizano ya kihoja kati ya Mawakili wa serikali...
  12. My county

    Kwanini ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere ni muhimu?

    Nani kasema hatuungi mkono mapambano ya Corona, tatizo lako umebeba roho ya kwanini serikali itekeleze mradi mkubwa kama huu!!!! Kazi inaendelea na tahadhari ya Covid-19 inafanyika pia Sent using Jamii Forums mobile app
  13. My county

    Gazeti la Mwananchi online lafungiwa miezi sita na kulipishwa faini milioni 5 kwa kupotosha

    Sheria ni msumeno, acha ukate tu Sent using Jamii Forums mobile app
  14. My county

    SUGU: Mahakama Kuu imesema nilifungwa kihuni, nikikamata ndege msiseme Mimi sio mzalendo

    Mzuni tu kama wahuni wengine. Tatizo la huyu jamaa vijembe mno kuliko kazi. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. My county

    Kwanini ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere ni muhimu?

    KWANINI MRADI WA UZALISHAJI UMEME WA MAJI BWAWA LA NYERERE MTO RUFIJI NI MUHIMU? Mradi huu unatarajia kuzalisha megawati 2,115 za umeme hatua ambayo inaelezwa kwamba itasaidia kupunguza tatizo la nishati hiyo muhimu kiuchumi na kijamii hapa nchini. Wasomi wanaeleza kukamilika kwa mradi huu...
Back
Top Bottom