Napenda kuulizia chaguo la awamu ya pili kwa kidato cha nne itakua lini maana kuna ndugu yangu ana div III ya 22 hajachaguliwa kwenda advance tulivyofatilia tukaambiwa asubili awamu ya pili itatoka soon naomba mnisaidie hiyo awamu ya pili ni lini itatoka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.