UDOM first year 2016/2017 Tukutane hapa

UDOM first year 2016/2017 Tukutane hapa

Mtakutana baada ya kujua hatima yenu katka mikopo.
Maana bila hii huko udom hakusomek
 
Karibuni sana UDOM wanaokiponda chuo hawajielewi na kujitambua sababu kwenye ajira mshahara hawaangalii vyuo, Vijana mje msome Chuo kikuu cha Dodoma
 
Mkifika udom coed nendeni ujasi ulizeni kwa mama boni.
 
nahitaji kujua hivi ninavokuja kuripot hakuna ndugu yangu dom inamaana hostel nikilipa nalala chuoni?
Utalala UDOM chuoni kwa kipindi chote cha masomo yako. Ila pia usipotaka unaruhusiwa kukaa nje ya chuo. Niwewe tu. Lkn hostel zipo za kumwaga.... Last year block zisizopungua tano huko humanities zilikuwa vacant.

KARIBU SANA
 
Utalala UDOM chuoni kwa kipindi chote cha masomo yako. Ila pia usipotaka unaruhusiwa kukaa nje ya chuo. Niwewe tu. Lkn hostel zipo za kumwaga.... Last year block zisizopungua tano huko humanities zilikuwa vacant.

KARIBU SANA
asante mkuu,naomba mawasiliano yako tuongee
 
Kama nimeona BATCH 2 bachelor of science in NURSING !!km unarafik alisubir !!angaalie jina lake
 
Jamani naombeni kuuliza course ya bachelor of arts in development studies imekaaje hapo udom na ajira yake iko vp ..naomben mnisaidie
 
Ukiwaza kuajiriwa unaweza ukajinyonga baada ya kumaliza masomo na kuanza kurandaranda mtaani kwa kukosa ajira.

USHAURI WANGU:
Nenda kasome upate maarifa na ujuzi wa kujitegemea mwenyewe na sio kutegemea kuajiriwa.
 
Back
Top Bottom