Kama madai yapo yasipuuzwe. Mohd said andaa waraka wako, itisha press conference na jopo lako, kisha peleka barua kwa waziri Wa elimu.
Naamini mtakua mmefanya la maana. Mkiona kimya hamuitwi au kupewa jibu lolote, mnaweza kurudi kwa waziri kuulizia maendeleo ya barua yenu.
Pelekeni barua...
Fisadi lowassa hatozunguka safari yake ya kushukuru. FULL STOP!!!!
Sasa ni mwendo Wa kutumbua majipu. Aende akachunge ng'ombe. Alisema kweupe akihojiwa na Zuhra Yunus Wa BBC kuwa ararudi monduli
Umewahi ishi marekani. Sikia kwa wanaoijua marekani. Hakuna mikutano ya kisiasa ya hadhara. Ya ndani ukumboni sawa. Maandamano yakifanyika huwa ya mlengo Wa utaifa siyo chama cha siasa. Uko dunia gani dogo!?
Asante muh.Kasim Majaliwa. Tuache upuuzi Wa kushukuru. Tujenge nchi. Wazungumze bungeni au kuitisha press conference.
Ulaya na marekani uchaguz ukimalizika, hakuna mikutano ya kisiasa. Siasa huhamia bungeni, kwenye makongamano au mkutano na waandishi Wa habari.
Hongera Waziru Mkuu
Alipofika ocean road alikuta upungufu mkubwa Wa dawa hali ya kuwa kumbukumbu za wiki tatu kabla zilionesha kiasi kikubwa cha dawa zilizopelekwa hospitalini ambacho hakiendani na dawa zilizokutwa hospitalini na zile walizopewa wagonjwa Wa saratani. Takwimu zilikuwa haziendani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.