Ndugu zangu nataka kujua kama Tender hii imeshakuwa awared na kwa nani; TENDER NO. PA/001/2018-19/HQ/W/031
"Tanzania-Zambia Transmission Interconnector Project (TaZa); Design, Supply, Installation, Implementation, Training and Commissioning of Corporate Management System (CMS) and Supporting...
Ndugu Mayalla you can't be serious, hivi hili ni suala la kupongeza na kuandika ulichokiandika? Ningekupongeza na kukuona wa maana kama ungeungana na mimi kumshangaa Rais kwani hivi kweli kwa akili ya kawaida tu hata kama elimu yake ni ya mashaka mtu mwenye elimu ya masters anaweza kushindwa...
Makala zako "fikilishi" mbona hazijagusia wizi na uporaji wa haki za wananchi Bara na Visiwani? Ukishakuwa na double standard, ukatanguliza tumbo mbele akili nyuma huwezi ukawa mchambuzi bali utakuwa unapraise na kuworship.
Hakika hujashirikisha halmashauri ya ubongo wako katika kuanzisha uzi huu. Ulipewa TITLE nzuri lakini maelezo uliyotoa ni uharo mtupu.
Mrudie aliyekupatia TITLE ili ukueleze alimanisha nini.
Kufufua shirika la ndege sio lazima ununue madege yote hayo tena bila utaratibu wa manunuzi ya kinchi.
Nyie mkubali mlibaka manifest ya CHADEMA 2015 bila kujua mikakati iliyokuwa imepangwa ili kufufua shirika hilo hata kama walikuwa wanataka kununua ndege zisingekuwa madege yote hayo.
Sent...
Naamini upinzani ni chachu ya maendeleo, ingawa ktk nchi zetu zilizojaa watu wenye fikra fupi wasio kuwa na maono hawapendi kuona wala kusikia upinzani. Kwa ufupi ni kwamba nilikuwa upinzani na nitabaki upinzani ktk chama kile au kingine kinachoonesha kuwa na watu makini wenye hoja nzito za...
Pole sana mkuu, Mungu atakulipa kwa namna yake. Wale wote walioshiriki October 2015 kutufikisha hapa kwa makusudi au kwa ugumu wa shingo zao au kwa maslahi yao binafsi hakika wana la kujibu mbele za Mungu.
Tusiwashambulie watu kama hawa, tuwaendee kwa UPOLE na UNYENYEKEVU, zaidi tuwaombee kwa Mungu awafungue akili na mioyo. Si kitu cha kawaida au akili ya kawaida MTU kama huyu kuwa hajaona pointi yoyote ktk hayo yaliyosemwa. TUWAOMBEE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.