Recent content by Mwl wa Civics

  1. M

    Tuokoeni jamani kidato cha nne 2011

    Anyway, suala la matokeo linahitaji umakini mkubwa sana kutokana na idadi ya watahiniwa ambao wanaongezeka siku hadi siku hivyo kuongezeka kazi katika kufanya tathmini ya matokeo kitaifa. Si suala la kusahihisha na kutangaza tu bali kuna michakato mingi kabla ya kutangaza
  2. M

    Ucheleweshaji wa matokeo ya form 4!

    Anyway, suala la matokeo linahitaji umakini mkubwa sana kutokana na idadi ya watahiniwa ambao wanaongezeka siku hadi siku hivyo kuongezeka kazi katika kufanya tathmini ya matokeo kitaifa. Si suala la kusahihisha na kutangaza tu bali kuna michakato mingi kabla ya kutangaza
  3. M

    Necta mböna wapo kimya sana kuhusu csee 2011 results

    Anyway, suala la matokeo linahitaji umakini mkubwa sana kutokana na idadi ya watahiniwa ambao wanaongezeka siku hadi siku hivyo kuongezeka kazi katika kufanya tathmini ya matokeo kitaifa. Si suala la kusahihisha na kutangaza tu bali kuna michakato mingi kabla ya kutangaza
  4. M

    Necta mböna wapo kimya sana kuhusu csee 2011 results

    Isije kuwa NECTA wamegoma kama Doctors!!!!!!! Mere jokes
  5. M

    Matokeo kidato cha pili, nusu wafeli

    Tatizo wanafunzi walikuwa kwenye mgomo wa kusoma kwa kuwa walijuwa kuwa wao ni bora liende yaani free to form three.
  6. M

    Majaji hawa 7 ndiyo adui wa demokrasia TZ

    Article 107A "Mahakama ndiyo chombo cha mwisho ktk utoaji haki" Majaji wakasema "...suala hili lipelekwe bungeni..." Kazi ipo!!!!!!!!!!!
  7. M

    Roles of parliament

    NINI KIFANYIKE endapo maamuzi yatakuwa for Party interest not public interest?
  8. M

    Roles of parliament

    Bunge lifanye nini endapo serikali haitatekeleza maamuzi ya kamati teule za bunge mfano katika tuhuma za Rushwa?
Back
Top Bottom