Jericho Jr.
Member
- Jan 8, 2012
- 75
- 6
jamani hebu tusaidieni haya matokeo nini kinaendelea ???mana presha inapanda presha inashuka.
sawa bhana mkuuuacha preasure weme kama unataka kwenda madvance utaenda tu! Tokea kesho kutwa kama si leo au kesho!
nimekuelewa bruda 10x kwa xanaMatokeo yapo kwa ajili yako, na sio wewe upo kwa ajili ya matokeo.
Punguza munkari matokeo yatakuja.
poa kma vipi ngoja tusubiri bruda anguKesho saa 9
mmmhhhh sasa jamani wezentu wa shule z kata itakuaje?? lakini 10x kwa xana bruda kwa kunipa moyoKuna anguko balaa Tanzania kiasi kwamba kama ingekuwa ni nchi makini waziri angejiuzuru au serikali nzima ingeanguka!!!!
dahh nadhanii unachosema ni kwelinikweli,watakua wanachakachua maana inaonesha hali sio!
na iwe kama ulivyosemaVijana tulieni matokeo tutawatangazia Jumanne..
kwa hiyo kama nilipanda ubuyu nitavuna ubuyu??????Utavuna ulichopanda
inawezekana wapo hukowe matumbo we ndy mko pamoja na dada ndalchk huko necta?au ni walewale wa kukisia kama akna fran ambao nao walitaja cku na saa lakn ss ni week! hebu tuhakkshie kiukweli ndg