Mwl wa Civics
Member
- Jan 22, 2012
- 8
- 0
Bunge lifanye nini endapo serikali haitatekeleza maamuzi ya kamati teule za bunge mfano katika tuhuma za Rushwa?
linapiga kura kutokuwa na imani na serikali!!!!
but kumbuka serikari ndo hiyohiyo imejaa CCM so sijui kama hizo kura zikipigwa zitaleta madhara
kwa kifupi kwa mtindo serikari yetu ilivyojaa uwoga hata serikali isipofanyia marekebisha mapendekezo sidhani kama kuna effects sana!! Labda wabunge wa CCM waache uoga!!
Hamna cha kufanya bali kuwachagua wabunge wengine 2015. Msitake kutuletea fujo hapa!NINI KIFANYIKE endapo maamuzi yatakuwa for Party interest not public interest?
Kamati teule au za bunge si serikali, kwa maana hiyo aziwezi amuru serikali bali inaipa tu mapendekezo serikali, kuchukua au kuto chukua mapendekezo ni jukumu la serikali pekee. Na mpaka hiwe sheria ni serikali itakapo amua kupeleka mapendekezo kujadiliwa bungeni na kupitishwa na wabunge ndio iwe sheria. Vinginevyo bunge aliwezi fanya lolote.Bunge lifanye nini endapo serikali haitatekeleza maamuzi ya kamati teule za bunge mfano katika tuhuma za Rushwa?