Roles of parliament

linapiga kura kutokuwa na imani na serikali!!!!

but kumbuka serikari ndo hiyohiyo imejaa CCM so sijui kama hizo kura zikipigwa zitaleta madhara

kwa kifupi kwa mtindo serikari yetu ilivyojaa uwoga hata serikali isipofanyia marekebisha mapendekezo sidhani kama kuna effects sana!! Labda wabunge wa CCM waache uoga!!
 
linapiga kura kutokuwa na imani na serikali!!!!

but kumbuka serikari ndo hiyohiyo imejaa CCM so sijui kama hizo kura zikipigwa zitaleta madhara

kwa kifupi kwa mtindo serikari yetu ilivyojaa uwoga hata serikali isipofanyia marekebisha mapendekezo sidhani kama kuna effects sana!! Labda wabunge wa CCM waache uoga!!

NINI KIFANYIKE endapo maamuzi yatakuwa for Party interest not public interest?
 
Bunge lifanye nini endapo serikali haitatekeleza maamuzi ya kamati teule za bunge mfano katika tuhuma za Rushwa?
Kamati teule au za bunge si serikali, kwa maana hiyo aziwezi amuru serikali bali inaipa tu mapendekezo serikali, kuchukua au kuto chukua mapendekezo ni jukumu la serikali pekee. Na mpaka hiwe sheria ni serikali itakapo amua kupeleka mapendekezo kujadiliwa bungeni na kupitishwa na wabunge ndio iwe sheria. Vinginevyo bunge aliwezi fanya lolote.

Hila kwa wenzetu upinzani utumia nyanja hizi for political gains kama ni mapendekezo mazuri na serikali imeyapuuzia.
 
Back
Top Bottom