Recent content by Mwl Simba

  1. M

    Wema Sepetu, Jokate Mwegelo na Lisa Jensen

    wooowww!!!!!!!!
  2. M

    Muhimbili: Mwandishi ajifanya mgonjwa, nusura apasuliwe tumbo

    hao ni madaktari kanjanja wa kitanzania
  3. M

    Hivi unaweza kumkumbatia mpenzi wako staili hii..????

    daah picha zingine bana!!!! jamaa hana mkia?si amchape?ii
  4. M

    Rostam Aziz Vs. Ridhiwani Kikwete; Ridhiwani Anamiliki Malori 100 Ya Mizigo

    Nashukuru sana baba yangu mzee Simba ni mkulima tu wa kawaida kijijini chipunda, masasi,mtwara hakuwahi kuiba cha mtu na kusemwa hadharani hivi.
  5. M

    Nimeziokota ufukweni mwa bahari je kuna mtu aliyeziangusha hizi pesa?

    Ni zangu uko pande zipi mida hii nizifuate?usiwapelekee police watakuweka ndani buree!
  6. M

    Mwigulu Nchemba kutikisa London Uingereza, Marekani aacha historia

    Ila najifunza kitu ktk siasa za kibongo,na nakumbuka na kuiamini kauli ya aliyekuwa mbunge wa Igunga ROSTAM AZIZ aliyeitoa wakati anajiuzulu kwamba "nataka kuachana na siasa uchwara"...nadhani tuachane na propaganda ambazo hazitusaidii watu wa hali ya chini,sasa ziara ya mtu marekani au...
  7. M

    Mwisho Mwampamba kufukuzwa Namibia

    Mwambie huyo maana kauli yake ni km mtu mwenye jiografia ya kuku,atembee aone,aende hata msumbiji tu.
  8. M

    Picha za Kigali,Rwanda.Watanzania tuna cha kujifunza sana kuhusu usafi wa mazingira

    Ni president huyo?au nimemfananisha?km ndiye safi sana ni mfano wa kuigwa km afisa utumishi wetu igunga vile mr. Chaula, Hongera sana!!
  9. M

    Extract ya hotuba ya Josephine Mushumbusi alipoongea na Watanzania waishio DMV, USA

    Waungwana mi napita tu ila hamjambo humu ndani?acha mi niende igoweko.
  10. M

    Mwigulu Nchemba achaguliwa kuwa m/kiti wa Vyama vya Ukombozi kusini mwa Afrika

    Ila siasa bwana! hv kweli watu wa iramba wanakufurahia km mtoa mada alivyokupamba?ila brother mi napita pita humu mitandaoni unasemwa vibaya jichunguze sana utaishia pabaya ndugu yangu.
  11. M

    Cheka kidogo

    Kwa hiyo ndo ulijua watu tutacheka kwa misemo ya kucopy na kupaste?
  12. M

    Angalizo kwa wenye mahusiano na Wanafunzi wa Tz wanaosoma nje!

    Hiyo haihitaji form 6 au chuo kikuu kuweza kutambua kinachoendelea achana nae huyo hana mpango na ww unaumia bure tafuta dem mwingine utakufa kwa ngoma tu,mm yamenikuta hayo na nina dem mkali kuliyo yeye kwa sasa nafurahia maisha mapya..jitambue chukua maamuzi magumu ipo siku atakuja na ataumia...
  13. M

    Intro

    Helloo!
Back
Top Bottom