Ila najifunza kitu ktk siasa za kibongo,na nakumbuka na kuiamini kauli ya aliyekuwa mbunge wa Igunga ROSTAM AZIZ aliyeitoa wakati anajiuzulu kwamba "nataka kuachana na siasa uchwara"...nadhani tuachane na propaganda ambazo hazitusaidii watu wa hali ya chini,sasa ziara ya mtu marekani au...
Ila siasa bwana! hv kweli watu wa iramba wanakufurahia km mtoa mada alivyokupamba?ila brother mi napita pita humu mitandaoni unasemwa vibaya jichunguze sana utaishia pabaya ndugu yangu.
Hiyo haihitaji form 6 au chuo kikuu kuweza kutambua kinachoendelea achana nae huyo hana mpango na ww unaumia bure tafuta dem mwingine utakufa kwa ngoma tu,mm yamenikuta hayo na nina dem mkali kuliyo yeye kwa sasa nafurahia maisha mapya..jitambue chukua maamuzi magumu ipo siku atakuja na ataumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.