Recent content by Mwl Samwel Mfaume

  1. Mwl Samwel Mfaume

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Like for Likers. Uzi mnene na toshelevu. Gongs like kisha nijulishe nije
  2. Mwl Samwel Mfaume

    JamiiForums Tanzania Nina mtaji wa sh. 60,000 nifanye biashara gani kwa Iringa?

    Nenda maeneo ya Makanyagio mkabaka na chuo cha mkwawa tafuta mtu anayeuza chips. Muombe uuze mapande ya nyama. Nyama bei ya kilo maeneo ya Mtwivila mwezi uliopita ilikuwa elfu 6 kilo. Chukua stek tu kata mapande kisha choma uyauze kwa wanaoenda kula ugali au chips hasa wanachuo maana kule...
  3. Mwl Samwel Mfaume

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naomba kujuzwa njia rahisi mtu akitokea Mpanda Katavi kwenda Morogoro

    Pita Tabora, Kisha Dodoma, baada ya hapo Morogoro. Ni mwendo wa siku mbili au tatu ukiamua kuzungukia Mpimbwe majimoto kisha Inyonga, Tabora na baada ya hapo Dodoma au Morogoro moja kwa moja. Anaweza kupanda treni kuepuka mizunguko na gharama za mabasi.
  4. Mwl Samwel Mfaume

    JamiiForums Tanzania Ombi la nafasi ya kazi ya Ualimu katika shule au taasisi yoyote

    Masomo niliyoyataja ndiyo niliyofaulu vema kuanzia ngazi ya sekondari hadi elimu ya chuo kikuu. Kwa mfano masomo niliyosema naweza kufundisha A-level ni yale tu niliyosoma chuoni. Niliyosema naweza kufundisha O-level ni yale tu niliyosoma elimu ya kidato cha nne na cha tano lakini masomo...
  5. Mwl Samwel Mfaume

    JamiiForums Tanzania Ombi la nafasi ya kazi ya Ualimu katika shule au taasisi yoyote

    Naitwa Mwl. Samwel Raymond Mfaume, Nilihitimu katika chuo kikuu kishiriki cha elimu Mkwawa na kutunukiwa Shahada ya kwanza ya ualimu ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam mwaka 2019 kwa masomo ya Jografia na Kiswahili. Kwasasa naishi Dar es Salaam, natafuta shule iliyopo mkoa wowote yenye uhitaji wa...
Back
Top Bottom