You have to argue scienfically by showing us practical evidence not assumptions.
Mfano Uchaguzi Mkuu uliopita2010 na s/mitaa 2014
Cdm 26 villages; 131 sub villages
Nccr no village; 1 sub village
2010 election ubunge
Ccm54%
Cdm41%
Nccr5%
Mtandao wa cham a
Cdm;kila Kitongoji kuna...
You have to argue scienfically by showing us practical evidence not assumptions.
Mfano Uchaguzi Mkuu uliopita2010 na s/mitaa 2014
Cdm 26 villages; 131 sub villages
Nccr no village; 1 sub village
2010 election
Kama vigezo vilivyowekwa vitatumika ni dhahiri ukawa itakusanya majimbo mengi sana lakini kama issue ni kugawana tu bila kuangalia uhalisia wa chama gani na mgombea yupi ndani ya chama hicho ananguvu eneohusika itakuwa ngumu sana kuachieve ukawa goals and destiny
SERENGETI ni Chadema si vinginevyo refer matokeo ya ubunge 2010
Ccm54%
Cdm41%
Nccr5%
Uchaguzi wa s/mitaa 2014
Cdm vijiji26 vitongoji131
Nccr hawana kijiji hata kimoja isipokuwa kitongoji1 moja
Na kumbuka nccr ilisimamisha wagombea maeneo mengi na huyu katibu Mkuu wa nccr aliwanadi sana...
Hapana, Swala la Muungano halihitaji Mjadala Coz tutachelewa Mno, hapa Maamuzi ya Busara toka Kwa Vyama hivi yafanyike ili tuwakabidhi Nchi Wapinzani, maana tunaona kabisa kuwa Wana nia njema na Wanyonge...hii Iko wazi
Harakati hizi Zinaendeshwa na Uongozi wa CHADEMA Wilaya ya Serengeti hapa Mkoani Mara Chini ya Kamati tendaji ya Wilaya Kwa Kushirikiana na Viongozi wa CHADEMA ni Msingi wa Wilaya walio Chini ya Mwenyekiti wa Kampeni hii Kamanda Manawa. Licha ya Kukumbana na Changamoto za Hapa na pale, tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.