Kwani nani alikwambia bila yeye dunia haikwendei sawaTegelezeni;6197986]Eti ni kwa sababu kikao cha ukoo kilichokaa juzi kimeamua nimrithi mke wa marehemu kaka yangu aliyefariki mwezi uliopita kwa ajali ya gari.
Kwa mila na desturi zetu inaruhusu mdogo mtu au kaka mtu kumrithi mke wa ndugu...
Anaweza kuwaomba watanzania ladhi endapo kuna kosa lakin kama unaweza kuomba kuhusu utaratibu na likaonekana ni kosa je peter selukamba atawambiaje wapiga kura wake
Kwa kuwa mawaziri kama wasira bado wana uchu wa madalaka huwa mtu kama yeye anaangalia masilah yake lakin siyo ukweli wa mambo ulivyo na hata katiba ya Tanzania kama sheria mama ya nchi aielezi kwamba mwislam ndo achinje je yeye haya maneno aliyatoa wapi au ndo kumfurahisha bwana mkubwa kwa kuwa...
Mi binafs lazima mwigulu nimuone kama punguani kama mpaka muda huu hajaelewa upepo wa liccm haupo mbona hana akili yeye asubiri muda ndo utamshitu kama haelewi
Kuna watu akili zao ni mgando kama cement iliyolowana wao huzani kwamba ccm haiwezi kutoka madarakan rejea tawala za miaka mingi kama Iran ambayo ilikuwa na utawala wa kifalme kwa miaka 2000 lakin ulitoka madarakan kama haujui mambo dunian kher ujiondoe kwenye jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.