Recent content by mwita daniel

  1. M

    Jinsi Tanganyika Law Society ya Lissu ilivyochemsha

    Unaniaminisha kuwa kupata msaada lazima uwe nyinyim?
  2. M

    Mungu ametupa zawadi leo kwa Mbunge Tundu Lissu kusimama kwa mara ya kwanza kwa msaada wa Physiotherapist

    Mungu yupo na anatenda kazi zake. Kazi moja wapo ni uponyaji.
  3. M

    Masha, Mkumbo, Mwigamba, Albert Msando na Katambi Mwenyekiti BAVICHA, wajiunga CCM

    Sio mvumilivu huyu, bado safari ni ndefu sana.
  4. M

    Lazaro Nyalandu ajiunga CHADEMA rasmi, Mabomu ya Machozi yapigwa

    Nyalandu ni lazima uvumilie mikikimikiki.
  5. M

    Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?

    Hujui unachokiandika humu. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Kenya bado kidogo itakuwa nchi ya mfano kwa demokrasia katika Afrika

    Tuliombee Taifa la Kenya amani. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Waakazi wa Buswelu Mwanza, tunahitaji maji.

    Huu sio utani ndugu zangu wala sio siasa, piteni hata muda huu mjionee.
  8. M

    Waakazi wa Buswelu Mwanza, tunahitaji maji.

    Jamani wananchi wanaoishi kuanzia wilayani, mtaa wa magaka, mtaa wa kahama, welunya, ilalila, jijini Mwanza, Tunahitaji msaada wa maji, wamama wanaumia sana kutafuta maji usiku kucha wakiwa na watoto mgongoni.
  9. M

    NSSF waja na hoja tatu kuhusu fao la kujitoa

    Kumbuka prof. Wewe uko above 56yrs.
  10. M

    Taasisi ya TWAWEZA yazindua ripoti yake kuhusu Demokrasia, Udikteta na Maandamano

    Twaweza mmezingatia vigezo gani kupata hizo takwimu?
  11. M

    Msaada jinsi ya kujikinga na majini

    Bwana Yesu asifiwe, atafute kanisa iliyokaribu nae, awe anaabudu. Na wewe uweunamuombea kupitia jina la yesu, atapona.
  12. M

    Mifuko ya Hifadhi za jamii ipo sahihi kuondoa fao la kujitoa

    Hawa ni wale watu tayari walofikisha 55miaka.
  13. M

    Waraka wa Mbunge Elibariki Kingu kwa Wabunge CCM kuhusu fao la kujitoa

    Sisi wengine ni vibarua bana huwezi kuniambia unaweza ukafanya hiyo kazi kwa miaka hamsini na tano, na huku unalipwa Tshs150000. Miaka hamsini!!!
Back
Top Bottom