Jamani wananchi wanaoishi kuanzia wilayani, mtaa wa magaka, mtaa wa kahama, welunya, ilalila, jijini Mwanza, Tunahitaji msaada wa maji, wamama wanaumia sana kutafuta maji usiku kucha wakiwa na watoto mgongoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.