Recent content by mwisho wa reli

  1. M

    BVR Kit Operators na Waandishi Wasaidizi

    wewe usijidanganye eti kesho ni public holiday, jina langu lipo na nimeambiwa kwa utaratibu zaidi niende kesho
  2. M

    Usaili BVR Kinondoni

    ambae hana cheti ila anajua kutumia computer inakuwaje hapo mkuu? au anarudishwa kabisa?
  3. M

    Uandikishaji wa BVR kwa mkoa wa Dar es Salaam

    wapo watakao lipwa 15,000/= kwa siku na wengine 25,000/= kwa siku kulingana na kiwango cha elimu yako
  4. M

    Majibu ya usaili NRFA/UTUMISHI

    vipi kwa wale walio sahau number zao wadau? kuna sehemu wanabandika majina?
  5. M

    Majibu ya usaili NRFA/UTUMISHI

    vipi kwa wale walio sahau namber zao wadqu? kuna sehemu wanabandika majina?
  6. M

    Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

    Wadau, Mimi nimekuwa na mahusiano na wasichana wanene na ninawapenda mno kuliko wembamba. Lakini sielewi kwanini wa wengi wanapenda wasichana wembamba. Jamani anayefahamu naomba anifahamishe yupi mtamu zaidi, naomba mwenye experience na wadada wembamba ndio ajibu, wewe kama hujui pita kimya...
  7. M

    Vipi kuhusu kuapply online

    mkuu mm nimepata kazi kupita zoom na sasa nina miezi mitatu, ninafanya kazi peacock hotel. asikudanganye mtu wewe tuma bila kuchoka kwani hata za kutuma posta au kupeleka direct tumeshapeleka nyingi na hatukujibiwa. so wewe appy tu
  8. M

    Kuitwa kwenye interview bot; post-note counter

    Ndugu wapendwe hivi BOT wameshaita watu kufanya interview kwenye zile nafazi za note counter? kwa anae fahamu naomba anifahamishe
Back
Top Bottom