Recent content by mwilili

  1. M

    US embassy in Jerusalem

    Pia huwa nafikiri wakristu tuna tatizo la uelewa, wayahudi kumkataa yesu nafikiri ulikuwa ni Mungu alifanya miyo yao iwe hivyo ili kusudi lake litimie la kuteswa, hata kuuwawa ili tukombolewe, fikiria wangempokea nguvu ya Mungu ingeonekanje,
  2. M

    US embassy in Jerusalem

    Ni bora ukaenda mbali ili tujue, maana elimu ina kawaida ya kutoka mbali, ni wapi ktk imani yako mungu alisema atakayempiga yesu kristu nitampiga ,atakaemlaani nitamlaani. Lakini juu ya hao israel amesema nini na uzao wake, alimuadia nini Ibrahimu na uzao wake,
  3. M

    US embassy in Jerusalem

    Hahahahaaaa, ni kizazi cha nani?
  4. M

    US embassy in Jerusalem

    Wamkubali wamkatae ila kubwa ni Mungu anasema nini juu ya israel
  5. M

    US embassy in Jerusalem

    Maoni yako na mawazo yako juu ya israel yanatokana na maandiko /mafundisho ya imani yako, na wengine pia wana mitizamo yao itoknayo na I'm ani yao. Vumilianeni tu, ila mwisho wa siku itajulikana
  6. M

    Uchumi unaimarika bei ya mchele yashuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo!

    Kweli bro kuna watu wataumia tena sana tu, kwani mbaazi ilipofikia sh 150 kwa kilo moja, ni uchumi ulikuwa umeimarika au nini?
  7. M

    Prof. Mark Mwandosya ni mpotoshaji

    Wewe unaejiita Jumanne, ulitaka Mwandosya aandike nini ili ufurahie, kama unaona ni uchochezi kwa mujibu wa katiba unaweza kufungua mashitaka,
  8. M

    Kama baba yako anamiliki Leseni ya Biashara, mtoto hapati mkopo wa Elimu ya juu. Hii ndio serikali ya CCM/Magufuli

    Mikopo haishinikizwi, ni sera ya Taifa, hakuna haja ya kuweka vikwazo kama hivyo ikiwa ni kweli
  9. M

    Waziri wa Israel Aonya: Tunaweza muua Asad Kama Wakiruhusu Iran Kushambulia Israel kutokea Syria

    Huwa sielewi kama uadui ulianzia hapo au ilikuwa kabla
  10. M

    Waziri wa Israel Aonya: Tunaweza muua Asad Kama Wakiruhusu Iran Kushambulia Israel kutokea Syria

    Kumbe hujui, ktk imani yao imeandikwa adui No 1 wa imani hiyo ni mayahudi. Uliza utaambiwa swala siyo kuisadia palestina
  11. M

    North Korea imeonya juu ya Vitendo ya kichokozi Kutoka kwa U.S

    Nilisema jana mwenye akili timamu hawezi amini eti N korea ataharibu hizo silaha
  12. M

    Rais Magufuli na Serikali yetu punguzeni spidi kidogo tutafakari, kwa maana dah!

    Hahahahahahaaa wayaruhusu uone kama hawawezi kuandamana,
  13. M

    Sauti Kubwa: Magufuli anatumia uwanja wa ndege Chato “kupiga dili”?

    Siku akitoka ndo mtaamini kisemwacho, bahati mbaya na nzuri katiba hairuhusu wahojiwe wala kushitakiwa kwa waliyoyafanya, tumwkisha
  14. M

    Sauti Kubwa: Magufuli anatumia uwanja wa ndege Chato “kupiga dili”?

    Hahahahahaaaa utetezi wa kijinga sana huo bora kunyamaza tu
Back
Top Bottom