Ni bora ukaenda mbali ili tujue, maana elimu ina kawaida ya kutoka mbali, ni wapi ktk imani yako mungu alisema atakayempiga yesu kristu nitampiga ,atakaemlaani nitamlaani. Lakini juu ya hao israel amesema nini na uzao wake, alimuadia nini Ibrahimu na uzao wake,