US embassy in Jerusalem

US embassy in Jerusalem

Very nice; very nice; very nice. Jerusalem Mji wa Bwana wa Majeshi. Wasiotahiriwa nao eti wanataka waumiliki Mji ule Mtakatifu! How? Machukizo mbele za Bwana aliyeziumba mbingu na nchi.
Unajing'ata mwenyewe, Magovi tunawajua sio waPalestina wala waIsrael.
 
Maneno ya ndan sana haya mkuu...haya hata ibilis akiyasikia hufumba macho manake ni makali kama sifongo
Naam; upanga ukatao kuwili. Ni wajibu wetu kuisema ile kweli hata kama wengine wataudhika Mkuu. Yerusalem, Mji aliouchagua Bwana mwenyewe, kuondoshwa katika Israel ni zaidi ya matusi kwa Kiti cha Enzi.
 
Mbingu na nchi zitapita lakini neno halitarudi bure,analiangalia neno lake apate kulitimiza. Jerusalem, Jerusalem mwanangu hatimaye umejitambua.
Bwana hulitimiza neno lake sawa sawa na ahadi zake Mkuu no matter itachukua muda gani.
 
Very nice; very nice; very nice. Jerusalem Mji wa Bwana wa Majeshi. Wasiotahiriwa nao eti wanataka waumiliki Mji ule Mtakatifu! How? Machukizo mbele za Bwana aliyeziumba mbingu na nchi.
Fala mkubwa wewe na mashoga zako USA
 
So? Stupidity of the highest order.
Msimhusishe Mungu na mashetani yaliyolaaniwa yasiyo mkiri Yesu kristo.

Wayahudi hawamkubali yesu kama mwokozi, wewe unapayuka bila aibu eti kuishangilia Israel kwa misingi ya maandiko!
Kuweni na akili wayahudi ndio mashoga na wapinga kristo wakuu. Wewe unabwabwaja bila aibu.

Israel ya sasa haina utukufu wowote, wacha watandikwe tu.
 
Msimhusishe Mungu na mashetani yaliyolaaniwa yasiyo mkiri Yesu kristo.

Wayahudi hawamkubali yesu kama mwokozi, wewe unapayuka bila aibu eti kuishangilia Israel kwa misingi ya maandiko!
Kuweni na akili wayahudi ndio mashoga na wapinga kristo wakuu. Wewe unabwabwaja bila aibu.

Israel ya sasa haina utukufu wowote, wacha watandikwe tu.
Hahahahaaaa, ni kizazi cha nani?
 
Hahahahaaaa, ni kizazi cha nani?
Sitaki kwenda mbali ila tambua ya kwamba, wayahudi walipomkataa Kristo, alisema "jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe la pembeni"

Ufalme wa mbingu umefunuliwa kwa mataifa yote, hakuna taifa teule sasa, mteule ni yeyote anayezishika amri za Mungu na sio kuanza kusimuliana habari za waasi wasiomtambua kristo, hawataishi kwa amani walishalaaniwa kwa kumkana Masihi.
 
Msimhusishe Mungu na mashetani yaliyolaaniwa yasiyo mkiri Yesu kristo.

Wayahudi hawamkubali yesu kama mwokozi, wewe unapayuka bila aibu eti kuishangilia Israel kwa misingi ya maandiko!
Kuweni na akili wayahudi ndio mashoga na wapinga kristo wakuu. Wewe unabwabwaja bila aibu.

Israel ya sasa haina utukufu wowote, wacha watandikwe tu.
Tuvumiliane kiimani; sio kila unachoamini wewe ni sahihi kwangu wala sio lazima imani yako iwe sahihi kwangu; matusi ya nini? Rejea hukumu ya Mahakama ya Rufaa, Kesi ya Dibagula - Yesu sio Mungu.
 
Sitaki kwenda mbali ila tambua ya kwamba, wayahudi walipomkataa Kristo, alisema "jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe la pembeni"

Ufalme wa mbingu umefunuliwa kwa mataifa yote, hakuna taifa teule sasa, mteule ni yeyote anayezishika amri za Mungu na sio kuanza kusimuliana habari za waasi wasiomtambua kristo, hawataishi kwa amani walishalaaniwa kwa kumkana Masihi.
Mwenyewe una-refer maandiko halafu unanishangaa mimi kutumia maandiko hayo hayo. Ni rahisi mbingu na nchi kupita kuliko Israel kukoma kuwa taifa teule la Mungu. Kama una maandiko yako yanayosema vingine hayo ni yako.
 
Tuvumiliane kiimani; sio kila unachoamini wewe ni sahihi kwangu wala sio lazima imani yako iwe sahihi kwangu; matusi ya nini? Rejea hukumu ya Mahakama ya Rufaa, Kesi ya Dibagula - Yesu sio Mungu.
Kama wewe ni mkiristo na unaamini yesu siyo Mungu basi ndio maana hujui unachosema, umepotoka sana ndio maana unashangilia usiyoyajua kiundani,

Marekani na Israel si mataifa teule kiasi kwamba wewe ushangilie kitendo cha USA kuhamishia ubalozi Jerusalem.
 
Mwenyewe una-refer maandiko halafu unanishangaa mimi kutumia maandiko hayo hayo. Ni rahisi mbingu na nchi kupita kuliko Israel kukoma kuwa taifa teule la Mungu. Kama una maandiko yako yanayosema vingine hayo ni yako.
Ufalme wa MUNGU umefunuliwa kwa mataifa yote, ndio maana hata wewe ambaye sio muisrael unajiita mkiristo kwa sababu ufalme wa MUNGU umefunuliwa kwa mataifa yote.

Wateule ni wote wenye kuzishika amri za MUNGU.
Endelea kuamini huo ujinga.
 
Very nice; very nice; very nice. Jerusalem Mji wa Bwana wa Majeshi. Wasiotahiriwa nao eti wanataka waumiliki Mji ule Mtakatifu! How? Machukizo mbele za Bwana aliyeziumba mbingu na nchi.

Biblia na utabiri wake unatimia, somaye na aelewe, na anayekataa ipo siku atakubali....
 
HAKI NI UBATIZO TU
Kuhamisha embassy kwenda Jerusalem hakubadili kitu, Wapalestima wapo na wataendelea kuwepo mpaka wapate haki zao. Israeli kabakia ni kupe tu ambae anaimaliza US kwa vita inavyopigana kwa ajili ya Israel na misaada mikubwa anayotoa kwa Israeli - taifa lililo laaniwa na ambalo limeahidiwa halitashi kwa Amani mpaka mwisho wa dunia sababu ya ubaya kwa binaadamu wenzao. Wamepata vipigo vikubwa kuanzia kwa farao, warumi , hitler n.k na kulia kilio cha mbwa maisha yao yote kudai kuwa wanaonewa. Lakini haya yote ndio wameandikiwa na laana zinaendelea.

Amerika inafilisika sababu ya ubabe na kushindwa kushindana na mataifa mengine kiuchumi - andalia hii video itakupa picha

HAKI NI UBATIZO TU HAKI NI UBATIZO TU
 
Back
Top Bottom