Kuna vitu vya kutetea lkn kwa hili huhitaji hata elimu ya chekechea kulijengea hoja. Jamaa habebeki acha kujisumbua kujenga hoja. Kaharibu mno yeye angebaki kimya tu.
Yote kwa yote ni mawazo sahihi lakini tunachopaswa kujua ni kua tunastahili kuishi kwa uhuru na amani bila ya kuogopeshwa na unyonge,zaidi sana hatupaswi kutishana cha msingi ni kutii sheria bila shuruti kwa nini tutishane?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.