Recent content by Mwilabheghe

  1. M

    Je, sheria ya kutotembea na mwanafunzi inawahusu private candidates?

    Sio mwanafunzi kabisa. Ni sawa na mke wangu nayeye anareseat. Ila mzazi wake anaweza kumshitaki kwa kutembea na mtoto wake ambaye sio mkewe
  2. M

    Je, sheria ya kutotembea na mwanafunzi inawahusu private candidates?

    Ngoja wanasheria waje watakujibu. Ila nnachojua sheria ya ndoa ya mwaka 1971 nimesahau kifyngu inakataza kujamihiana na MTU ambae sio mkeo. Na kifungo chake ni miezi 6
  3. M

    Msaada - kesi ya madai

    Mtengeneze ushahidi. Km vile kumwandikia meseji za kumdai. Mpigie cm na umrekod. Mdai kwa kumwitia MTU amulize kwanini hakulipi deni lako. Huu ni ushahidi tosha
  4. M

    Msaada - kesi ya madai

    Anngemkopesha kwa riba ingekuweje?
  5. M

    Je, mahakama ya mwanzo ina mamlaka kushughulikia kesi iliyo nje ya wilaya au mkoa?

    Kwenu mawakili wasomi. Naomba kujua mipaka ya mahakama za mwanzo kisheria. He inaweza kuendesha kesi ambayo mshitakiwa anaishi wilaya nyingine? Mfano, uliwahi kuishi Kilolo Iringa kuna mtu ulikuwa unamdai akahama anaishi Makete Njombe. Mtu akachukua summons mahakama ya mwanzo "x" Kilolo na...
  6. M

    Zitto Kabwe kutopenda ubalozi wa Israel

    There z no way ukautofautisha mgogoro was Israel na Palestine. Chimbuko La huo huo ni udini. And there z no way huo mgogoro ukaisha until the second coming of Jesus. Because it prophesized in the bible. So team Zitto you better shut up
  7. M

    Msaada nimefikishwa kortini kwa Deni lilokoma

    Mhh! Kazi kweli kweli. Hii yote ni Kutokana mtu anasoma baada ya kuchoka badala kuchoka baada ya kusoma
  8. M

    Msaada nimefikishwa kortini kwa Deni lilokoma

    Soma vizur maelezo yaelewe kisha uweze kukomment
  9. M

    Msaada nimefikishwa kortini kwa Deni lilokoma

    Soma vizur maelezo yaelewe kisha uwe na nafasi nzuri ya kujibu
Back
Top Bottom