Mwilabheghe
Member
- Feb 14, 2018
- 30
- 14
Kwenu mawakili wasomi.
Naomba kujua mipaka ya mahakama za mwanzo kisheria. He inaweza kuendesha kesi ambayo mshitakiwa anaishi wilaya nyingine?
Mfano, uliwahi kuishi Kilolo Iringa kuna mtu ulikuwa unamdai akahama anaishi Makete Njombe. Mtu akachukua summons mahakama ya mwanzo "x" Kilolo na kumfuata Makete.
Je, ni sawa? Kama si sawa afanyeje, huyu respondent? Akigoma kusaini atakuwa amedharau mahakama?
Naomba kujua mipaka ya mahakama za mwanzo kisheria. He inaweza kuendesha kesi ambayo mshitakiwa anaishi wilaya nyingine?
Mfano, uliwahi kuishi Kilolo Iringa kuna mtu ulikuwa unamdai akahama anaishi Makete Njombe. Mtu akachukua summons mahakama ya mwanzo "x" Kilolo na kumfuata Makete.
Je, ni sawa? Kama si sawa afanyeje, huyu respondent? Akigoma kusaini atakuwa amedharau mahakama?