Ngoja wanasheria waje watakujibu. Ila nnachojua sheria ya ndoa ya mwaka 1971 nimesahau kifyngu inakataza kujamihiana na MTU ambae sio mkeo. Na kifungo chake ni miezi 6Kama anajulikana kama kijana candidate kula vyombo
Sio mwanafunzi kabisa. Ni sawa na mke wangu nayeye anareseat. Ila mzazi wake anaweza kumshitaki kwa kutembea na mtoto wake ambaye sio mkeweHuyo sio mwanafunzi
cha uongo, hakuna kifungu kama hiko kinachkataza kujamiina na mtu ambaye hajakuoaNgoja wanasheria waje watakujibu. Ila nnachojua sheria ya ndoa ya mwaka 1971 nimesahau kifyngu inakataza kujamihiana na MTU ambae sio mkeo. Na kifungo chake ni miezi 6
shaeria haitakubana eti unatembea na mwanafunzi bali sheria itakubana unatembea na mtu ambaye hamjafunga ndoa
Hata kama mmekubaliana?Ngoja wanasheria waje watakujibu. Ila nnachojua sheria ya ndoa ya mwaka 1971 nimesahau kifyngu inakataza kujamihiana na MTU ambae sio mkeo. Na kifungo chake ni miezi 6