Katika utaratibu wa maisha na malezi si sawa kutembea na watoto wadogo maana kama MTU matamanio yamekushinda unatakiwa ukaechini na kufanya maamuzi ya kuoa. Zinaa inagharama zake. Acheni watoto wa watu wakue kwenye miendo na maadili mema
Kimsingi mabinti walio na umri mdogo wanachangamoto kama mlizotaja ingawa zipo baadhi ambazo ni kero ambazo ni
1. Hawajui kuvumilia mikiki mikiki pale inapobainika nyumbani kwao kuwa anampenzi. Hasa pale wanapompa kisago na kumtishia kusitisha mahitaji kwake.
2. Wao huongozwa na mioyo zaidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.