Guys trust me,tangu enzi na enzi hii ndio tofauti iliyopo kati ya mtawala mkuu wa kikatoliki duniani kama sio mtawala mkuu wa madhehebu yote ya Kikristu maana hata wahubiri wa madhehebu mengine hawajui kuwa wao ni Roma na wapo kwa niaba ya Roma, kidogo Mzee wa upako na Kakobe ndie...
nami naamini hivyo ndio maana nimeandka ktk maelezo yangu kuwa manesi polisi huwa wanaishi sema wanakuwa ktk roho hawaonekani na watu wapenzi huonana baada ya kifo na kuishi kama duniani sema mnakuwa kama ktk ndoto lakini kubwa Mungu huturudisha duniani kama tunadondoshwa hivi mfano wa mwanzo...
kuna bacteria kwenye maji asiekufa na wanasayansi wa kijapani wanamfanyia utafiti na wakijua siri wanadai huenda binadamu nae ataishi milele au miaka mingi
Kwa hakika nina mashaka kiasi na aina ya mchezo mpya wa siasa wa Burundi kwa kutumia jeshi maana ipo siku itakuwa kweli.
Siasa haichezwi jeshini maana ni hatari sana, sijui maoni ya wadau nayasubiri.
Wapo viongozi wanaokiri wazi kuwa elimu ya siasa waliipatia nchi fulani hivyo si mbaya...
mimi ninakwambia kweli kama kuna binadamu duniani ametaabika kuliko yeyote yule basi ni yule aliewahi au aliefungwa muhogo a.k.a p.o.p ya shingo na kushindwa kugeuza shingo kama kawaida mpaka ageuke mwili mzima japo kwa muda wa mwezi mmoja tu achilia mbali siku.
Lengo ni kukuthibitishia wapo...
Wataalamu waeleza haya kwa uwazi ktk attachmentzangu hapo chini,ombi langu wanaojua lugha vizuri ya kiingereza wajaribu kutafsiri kwa manufaa ya wengi na jambo la kusikitisha hakuna madaktari wengi wa ugonjwa huu sijui kwanini,hasa wilayani na haujatangazwa vya kutosha mamia wanahiisi wamelogwa...
mimi nimeamua kukuchambulia juu ya watu wanachosikia na namna wataalamu walivyotambua kuwa wakati mwingine watu husikia sauti zikiwa ktk mtiririko maalumu na wakiwa hawana tatizo la akili na wametambua kuwa ni sauti hai.......soma attachment zangu neno kwa neno
Ninachoamini ni yeye ndio aandaae ndoto kwa kila binadamu,na kuongea nae ndotoni ninaamini ni yeye anaweza kukuonesha mambo mengi tu,ila nakuhakikishia wapo watu wanazungumza nae na kusikia sauti rejea nafsi tatu za roma,baba roho mwana na roho mtakatifu,live huongea nae akiwa ktk roho...
Ukisoma mathayo mtakatifu 27 19-25 utajionea namna mama huyu mashuhuri wa kipindi hiko alivyoweza kutengua maamuzi magumu ya mumwewe asijue ndivyo Mungu anavyoendesha dunia mpaka leo,nchi moja sitaitaja wakiona jambo fulani haliendi sawa basi humchukua kiongozi na kumualika alishiriki basi...
ni sehemu pekee unapoongea na Mungu moja kwa moja,kama manabii walipoongea nae kupitia ndoto, mathayo mtakatifu sura ya 27 mstari wa 19-25 baada ya mama huyo kuonjeshwa joto ya jiwe soma alivykulupuka kubadili mambo ukibisha basi
KTK dunia hii hakuna jambo binadamu asio lijua sema imewekwa siri moyoni mwa kila binadamu,ktk dunia hii wapo wanaume wanaojua uchungu wa leba na wamekwisha zalishwa sawa sawa na mwanake akiwa leba ila kupitia ndoto,lakini walichokihisi huenda ni sawa au zaidi ya uchungu halisi,kama navyosema...
Niliwahi andika wakati fulani kuwa polisi na manesi huwa hawafi kwani punde utakapokula kiapo chao maana yake unamwakilisha alie juu.
Adamu na Hawa walipopata kujifahamu yaani kutambua zuri na baya kwanza walijificha sehemu za uzazi,sasa mtu aliepewa mamlaka ya kutibu mwili wa binadamu amepewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.