mwibamwiba
Senior Member
- May 22, 2015
- 150
- 38
Guys trust me,tangu enzi na enzi hii ndio tofauti iliyopo kati ya mtawala mkuu wa kikatoliki duniani kama sio mtawala mkuu wa madhehebu yote ya Kikristu maana hata wahubiri wa madhehebu mengine hawajui kuwa wao ni Roma na wapo kwa niaba ya Roma, kidogo Mzee wa upako na Kakobe ndie anajua,wahubiri wengi ukiwauliza nini maana ya msalaba hawajui kabisa, watasema ni mzigo wa dhambi zako-sawa ila nini chanzo cha msalaba-wote hawajui, sana sana watakujibu ni kubebeshwa kwa Masia ndio chanzo, kumbe chanzo ni tangu miaka maelfu bc Kristo msalaba ulikuwapo Roma na ndio waliobeba hasa maana ya dhambi kwakuwa watu waliohukumiwa waligongelewa msalabani na kuchomwa moto kama ishala ya kubeba dhambi zao na adhabu hii ilikoma baada ya Masia kukata roho na miujiza kutokea hekaruni
Alichokifanya Masia ni kuja kukomboa dhambi zote kwa kupitia yale ambayo Roma alishayafanya sawa na kafala au tasnia fulani ambayo inalegalega ni lazima atangulie mmoja wa nyota wa tasnia hiyo ndio mchezo uwe maarufu na upendwe(yaani freemason)na baada ya miaka mingi ukilegalega tena atatangulia mmoja wa mchezo huo yani kifupi ndio mfumo wa maisha.
SASA kiongozi wa kiroho Duniani anamaono ya wazi na anajua siri zote za dunia sasa anapofunga safari nchi fulani elewa wazi kuna binadamu yupo aweza kuwa mmoja au zaidi ya mmoja mwenye maajabu huenda akawa nin kiongozi wa juu kabisa au mtu wa kawaida kabisa mbali ya kuwaonea huruma wenye mateso na mahangaiko ila dhumuni kuu huwa hilo.wapo viongozi wenye nguvu sana haieleweki wanatawalaje au walitawalaje enzi za utawala wao hadi kupendwa na watu wote nguvu ambayo wao wenyewe hawaijui wakidhani ni siasa kumbe la,sasa waweza kuwa wanajijua au hawajijui, kwahiyo mwenye kung'amua hayo ni baba mtakatifu nae hudhulu kwa kukamilisha michakato fulani itayofanyika karne nyingi zijazo kwa watu hao kuitwa watakatifu au la! kumbuka kuitwa mtakatifu ukiwa hai ni haiwezekani kwa sasa kwa mtu yeyote maana.
Chunguza ziara zote azifanyazo wapo viongozi ambao wananguvu kubwa waliyobarikiwa na Muumba ambayo hata wao hawajijui na hata ukiwauliza sababu ya Pope kudhulu katika mataifa yao ilihali viongozi wengine wakishindwa hata kupiga hatua moja nje ya mipaka yao wengine wanalala wiiki kadhaa nje ya mataifa yao yaliyo sawa sawa na hao wasiolala nje,wengine wakitawala kwa hofu wakishindwa hata kuhudhulia mikutano wakihofia kubinuliwa kama mtumbwi,wengine wanachanja mbuga kama digidigi wakizunguka dunia na kuhudhulia mikutano kisha hurudi kuchungulia kidogo kunywa maji(sababu mualiko ni sehemu ya baraka na umuhimu wako ktk maisha yetu,hivyo ikimiminika ni mibaraka)kwa kuwa ya baraka hizo.
Alichokifanya Masia ni kuja kukomboa dhambi zote kwa kupitia yale ambayo Roma alishayafanya sawa na kafala au tasnia fulani ambayo inalegalega ni lazima atangulie mmoja wa nyota wa tasnia hiyo ndio mchezo uwe maarufu na upendwe(yaani freemason)na baada ya miaka mingi ukilegalega tena atatangulia mmoja wa mchezo huo yani kifupi ndio mfumo wa maisha.
SASA kiongozi wa kiroho Duniani anamaono ya wazi na anajua siri zote za dunia sasa anapofunga safari nchi fulani elewa wazi kuna binadamu yupo aweza kuwa mmoja au zaidi ya mmoja mwenye maajabu huenda akawa nin kiongozi wa juu kabisa au mtu wa kawaida kabisa mbali ya kuwaonea huruma wenye mateso na mahangaiko ila dhumuni kuu huwa hilo.wapo viongozi wenye nguvu sana haieleweki wanatawalaje au walitawalaje enzi za utawala wao hadi kupendwa na watu wote nguvu ambayo wao wenyewe hawaijui wakidhani ni siasa kumbe la,sasa waweza kuwa wanajijua au hawajijui, kwahiyo mwenye kung'amua hayo ni baba mtakatifu nae hudhulu kwa kukamilisha michakato fulani itayofanyika karne nyingi zijazo kwa watu hao kuitwa watakatifu au la! kumbuka kuitwa mtakatifu ukiwa hai ni haiwezekani kwa sasa kwa mtu yeyote maana.
Chunguza ziara zote azifanyazo wapo viongozi ambao wananguvu kubwa waliyobarikiwa na Muumba ambayo hata wao hawajijui na hata ukiwauliza sababu ya Pope kudhulu katika mataifa yao ilihali viongozi wengine wakishindwa hata kupiga hatua moja nje ya mipaka yao wengine wanalala wiiki kadhaa nje ya mataifa yao yaliyo sawa sawa na hao wasiolala nje,wengine wakitawala kwa hofu wakishindwa hata kuhudhulia mikutano wakihofia kubinuliwa kama mtumbwi,wengine wanachanja mbuga kama digidigi wakizunguka dunia na kuhudhulia mikutano kisha hurudi kuchungulia kidogo kunywa maji(sababu mualiko ni sehemu ya baraka na umuhimu wako ktk maisha yetu,hivyo ikimiminika ni mibaraka)kwa kuwa ya baraka hizo.