Jamani MziziMkavu mbona unaniangusha?? Mi nimetuma e-mail kwenye hiyo account lakini inasema delivery failure ona ujumbe kwa urefu hapo chini au hiyo account bado kutengenezwa??
Funguka mkuu.!!!
-----
Delivery to the following recipient failed permanently...
Wakuu mimi nimejifungua kwa operation na sasa nina miezi mitatu sijafunga tumbo. Naomba ushauri namna ya kuliondoa tumbo hili maana kila nguo hainipendezi.
Wadau vp hakuna nyumba nyingine maeneo hayo bado sijapata tafadhali msaada maana hiyo milion moja kwa mwezi sina. Bajeti ni chini ya 350,000 kwa mwezi tafadhali sana wadau wa JF
Tunashukuru kwa elimu hii maridhawa tunaomba elimu ya uzazi kuanzia ukiwa mjamzito mpaka malezi ya mtoto mchanga maaana hospitali na clinik za siku hizi hasa za private hawatoi elimu hiyo inabidi uipate mtaani kwa mazoea ya watu kama ni mzao wako wa kwanza. Jamani hii ni kweli unamuona Dr hakuna...
Asante mupiricon kwa taarifa nzuri, lakini kwa sisi ambao mizunguko yetu haipo kwenye mafungu hayo matatu uliyotaja tunafanyaje maana kwa mfano mimi mtiriko wangu wa siku mwaka jana ulikuwa hv 10.01.2012,
03.02.2012,
22.03.2012
16.04.2012
Nikajikuta nimepata ujauzito sasa nina mtoto na nimeanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.