Wadau vp hakuna nyumba nyingine maeneo hayo bado sijapata tafadhali msaada maana hiyo milion moja kwa mwezi sina. Bajeti ni chini ya 350,000 kwa mwezi tafadhali sana wadau wa JF
Kuna moja hpo kijitonyama nyuma kabisa na kanisa la kkt..ina vyumba viwili na sebule,maji yapo, na ulinzi ni salama kwa mawasiliano piga no:0713058290Wadau natafuta nyumba ya kupanga ya vyumba 2,sebule, choo, jiko na parking angalau ya gari moja. Maeneo ya mbezi tank bovu, kijitonyama na makumbusho.
Wadau natafuta nyumba ya kupanga ya vyumba 2,sebule, choo, jiko na parking angalau ya gari moja. Maeneo ya mbezi tank bovu, kijitonyama na makumbusho.
Zipo Makongo juu..
ipo ya gorofa,
room nne, full tiles, kitchen, dining,master& public toilet, sitting, nice house,
imezungushiwa ukuta,
na nyingine ya kawaida,
ina room nne,
master& public toilet, kitchen, dining, sitting, store, full tiles, ina nafasi kubwa,
imezungushiwa ukuta,
ndani kuna parking iliyojengewa mageti..
pia na nyingine ya room mbili,
yaani master moja, kitchen,
na parking,
ipo ya room tatu,
full tiles, kitchen,dining,sitting, master& public toilet, uwanja mkubwa,
call: 0756547184