waubani
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 542
- 210
Hata uko kwenye hospitali binafsi zinazo jiendesha kibiashara kunatatizo.dr akishaona msururu wa foleni kubwa ya wagonja anaanza kuharakisha ili ale vichwa zaidi bila kufanya diagnosis ya kina na umakini kwa mgonjwa.ndio maana hat huku kwa nchi zilizoendelea baadhi ya tiba zinafanyika kwa appointment na umakini; dr anaweza piia kushitakiwa ikigundulika kama kuna uzenmbe wake binafsi.