Tutolee utumbo wako....ujielewi wee...iv una ubongo kweli? Wakati nchi yetu inakabiliwa na matatizo lukuki kiuchumi, fedha yetu imeshuka thamani, deni la nchi linazidi kupanda..afu wewe unatuletea ujinga wa middle east eti tudiscuss.....fool ishmaeli, deserve a finger in the ass
Huo mkojo ni vizuri ukaspecify wa rangi gani...maana rangi fulani ya mkojo huelezea tatizo fulani..kwa mfano mkojo rangi ya chai unaindicate tatizo tunaliita kitaalam acaptonuria ni tatizo la kibiokemia zaid linalohusu metabolism ya amino acids, mkojo mzito wenye rangi inayotaka kufanana na maji...
Very easy....we say there is no God kwa sababu hayupo, nini chanzo chake? Anakaa wapi? Nani kamuona?....uwepo wa viumbe unaelezeka kutumia natural scientific laws......
Nyinyi wote ni wapumbavu....hapa hatumwongelei mtuhumiwa, tunamwongelea mama yake....anayo haki ya kwenda kumuona mwanawe japo kwa mara ya mwisho kabla ya kuhukumiwa...kitendo cha polisi kutoa majibu ya kisenge eti hawajui kuhusiana na mwanae zaidi ya kuona kwenye magazeti ni upuuzi...ndo maana...
Yupo sahihi...kitendo cha maaskofu kuwaabia waumini wao wakatae katiba ni kuigawa nchi....ni vizuri kwenye mambo ya siasa vyombo vya dini visijiingize...ivi kwa mfano na viongoz wa kiislam nao wakiwaambia waumin wao nin cha kufanya si itakuwa ushindani kati ya waislam na wakristo....ni vizuri...
"Those who make peaceful revolution impossible, make violent revolution innevitable" mzee slaa anataka afie madarakani, kazuia peaceful revolution ya akina zitto, sasa waache wamuue.....
bado akili zako ni za karne ya 7....akili za kipuppets hazikusaidii lolote, US troops soon will set foot in our country kasome mpango wa amerika kigamboni n frm thr utakuja kuiona true face ya hao unawassuport
ITS TRUE...huu ni ukweli, soma history ya internet utajua..na hata mashirika kama facebook, google yapo chini ya CIA, hawa hudisguise kama watu wa kawaida na wanarun makampuni kama watu binafsi kabisa lakini ni part ya mtandao mkubwa wa kumonitor nchi na watu...wanaexist hata nchini kwetu hasa...
US jewish medias kama google huwa wanamanipulate habari in their favour...kwa mfano huwapaka matope wana mapinduz wa russia(bolsheviks) kuwaita madikteta, kwa mfano jaribu kusearch jina la stalin, matokeo watakayo kupa ni yale yanayomtaja kwamba alikuwa ni dicteta wa urusi, lakini je ni kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.