Hii serikali ya wa ccm, inakotupeleka sipo, lazi ya viongozi wa dini ni kukemea maovu, so kama ameona yanayo fanywa na serikali hii yenye kila uozo na uchafu, acheni tu aseme.Binafsi nimechozwa na serikali ya Magaidi,
Duh, kazi kweli kweli, sasa hii inakua vp kama mtu unatoka dar, si sawa na kuambiwa tu, mtu usiende?, wadau hebu niambieni wenye uzoefu wa hizi mambo, nijitoe ufahamu au nipotezee? Nipo njia panda hapa.
Sasa vijana, wengine wageni kidogo humu, me kuna jamaangu kaniuliza hiyo field officer nini majukumu yake ni yapi, nimeshindwa msaidia, nimeleta mezani, hebu nisaidieni wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.