Inasikitisha kuona msomi kama wewe tena kutoka chuo maarufu unapost ishu ya kipuuzi. Sitaki kuamini kuwa ndivyo ulivyofunzwa ila unanilazimisha niamini kuwa elimu uliyonayo imeshindwa kukusaidia kuvumbua na kuleta mabadiliko chanya yako binafsi na jamii kwa ujumla. Tumuogopeni Mungu basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.