Recent content by Mwette

  1. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Naomba tuwasiliane MR. KAREEM
  2. M

    Unapoitwa kaka na mdada aliekua anakuata shemeji anakua ana maanisha nini?

    Ulitaka uitwe nani kwani dada wa dem wako ninani yako....??
  3. M

    Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

    mjomba wanajamvi watakuumbua siku wakitoa ajira hizo. Acha kukatisha watu tamaa
  4. M

    Baada ya kumtongoza kwa Miaka 7,Leo amekubali

    hahahaaa mazima hayo bro whoever has open mind should +++++
  5. M

    Baada ya kumtongoza kwa Miaka 7,Leo amekubali

    Inasikitisha kuona msomi kama wewe tena kutoka chuo maarufu unapost ishu ya kipuuzi. Sitaki kuamini kuwa ndivyo ulivyofunzwa ila unanilazimisha niamini kuwa elimu uliyonayo imeshindwa kukusaidia kuvumbua na kuleta mabadiliko chanya yako binafsi na jamii kwa ujumla. Tumuogopeni Mungu basi...
  6. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimu anayetaka kuhamia Meatu Simiyu idara ya Sekondari yupo wa kubadilishana nae. Tuwasiliane. Tuwasiliane kwa namba hii 0716650900
Back
Top Bottom