Recent content by mwesigwas

  1. M

    CHADEMA naichukia kutoka moyoni

    CHADEMA ina uzuri gani?
  2. M

    Dr. Slaa kuunguruma Washington D.C. Sept. 22, 2013

    Mi kiukweli slaa simkubali kugombea Urais,tatizo lake kubwa ana hasira sana,nchi haiwezi.CCM baadhi mafisadi nawachukia,ila wana majembe yana point ambayo hayana kashfa,yakitangaza kugombea yanapita bila kipingamizi.mfano.Mwakyembe,sita,Magufuli n.k.
  3. M

    Mch GWAJIMA: SEREKALI TATU HAZIEPUKIKI

    Acha uongo!hiyo sio ibada,labda ni hotuba,huwezi kuabudu kwa kumtaja mwanasiasa na siasa halafu ukasema ni ibada.Karagabao na uongo wenu.
  4. M

    Mnyika: Ndugai alitumwa na akajiandaa

    Mi sijui nisemeje?sio CHADEMA wala CCM,wote hawana nidham,hakuna anaye msikiliza mwenzie,kila chama kinatafuta kujifaharisha sio kwa faida ya wana nchi.Nadhani kama sikuile ya mgogoro uliangalia bunge uliwasikia Lukuvi na Lissu,mi nilipata jibu siku hiyo na kuvidharau vyama vyote viwili.
  5. M

    Ni yupi MKE anayefaa: Mfanyakazi au asiye na kazi (golikipa)?

    Akili nyingi huondoa maarifa,wahenga walisema.Mwanamke akisoma sana asilimia kubwa wanaringa na wanashindwa kuwa chini ya himaya ya waume zao.Msomi hana nafasi kwangu,kipimo ni uelewe alio nao huyo mwanamke.Sio kila msomi ana maarifa,waweza kuwa msomi halafu ukawa mjinga. Sent from my...
  6. M

    Jifunze: Kwa mnaopenda Vita au mashabiki wa Vita na Rwanda

    Watanzania sio tatizo maana sababu za migogoro zikp wazi kwa malawi na Rwanda,we Malawi kuongozwa na Rais Mwanamke kwanza ni kinyume na maadili ya dini zote na mila zote,si uone hapo wana matatizo. Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  7. M

    Kuluman alainaha,ni ujumbe unaotoka ndani ya Office kuu ya CCM

    Tatizo la watanzania tumekuwa masikini kupita kiasi hata umasikini wa fikra,maana tunashindwa kutofautisha lugha na dini.Nani kakwambia kiarabu ni dini?kwani wanao zungumza kiarabu wote ni waislam?Maswala ya Udini yanatoka wapi? Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Back
Top Bottom